Saturday, June 30, 2012

Breaking News-Dr Ulimboka apelekwa nje ya nchi kwa matibabu!


Taarifa zilizonifikia hivi punde kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere Dar, nikuwa kiongozi wa madaktari aliyetekwa na kujeruhiwa na watu wanaohisiwa kwa 99.5% kwa ni serikali (TISS) nikuwa anapelekwa nchini India kwa matibabu

Breaking News-Dr Ulimboka apelekwa nje ya nchi kwa matibabu!


Taarifa zilizonifikia hivi punde kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere Dar, nikuwa kiongozi wa madaktari aliyetekwa na kujeruhiwa na watu wanaohisiwa kwa 99.5% kwa ni serikali (TISS) nikuwa anapelekwa nchini India kwa matibabu

Pakacha lazidi kuvuja: Trilioni 3/- zapotea


Waziri wa Fedha, Dk. William  Mgimwa
WAKATI Serikali ikithibitisha uwezo wa kukusanya takriban Sh. trilioni nane kutoka vyanzo vya ndani vya mapato katika miezi 12 kuanzia wiki ijayo, uchambuzi wa misamaha ya kodi nchini unaonyesha kuwa takriban Sh. trilioni tatu zimekuwa zikipotea kutokana na biashara za kimataifa, pamoja na uzembe katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, Raia Mwema limeelezwa.
Katika mchanganuo huo ambao pia umezungumziwa na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi ambaye pia ni Mbunge, James Mbatia, taasisi ya Aga Khan inayoendesha baadhi ya huduma za kijamii, zikiwamo hospitali, nayo imetajwa kuhusika katika kundi la NGOs zinazokwepa kulipa kodi kwa kiwango kinachostahili.
Kwa mujibu wa maelezo ya Mbatia, bungeni, wakati akichangia mjadala wa bajeti kuu ya Serikali, wiki iliyopita, takriban Sh bilioni 7.5 zinapotea kupitia kundi hilo la NGOs.
Katika maelezo yake bungeni, Mbatia aliishambulia taasisi ya Aga Khan inayoendesha huduma za hospitali kwa gharama kubwa nchini wakati ikiwa inapata misamaha ya kodi nchini. Aga Khan pia inaendesha huduma za ukumbi kwa ajili ya shughuli mbalimbali nchini, ukiwamo ukumbi wa Diamond Jubilee, ulipo jijini Dar es Salaam.
Huduma hiyo (ya ukumbi), kwa mujibu wa Mbatia, imekuwa ikitozwa gharama za juu bila kujali kuwa taasisi hiyo imekuwa ikipata misamaha ya kodi.
Pamoja na mchango wa Mbatia bungeni, Raia Mwema limepata nyaraka inayoonyesha namna baadhi ya sekta nchini zinavyovujisha mapato ambayo yangeweza kuchangia bajeti ya nchi na hatimaye kupunguza kiwango cha utegemezi kutoka kwa wahisani wa nje ya nchi.
Biashara za kimataifa
Katika eneo la biashara za kimataifa, takwimu zilizopo ambazo baadhi ni kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zinaonyesha kuwa, upotevu wa mapato umekuwa ukiongezeka kutoka jumla ya Sh. bilioni 359 mwaka 2006 na 2007 hadi Sh. bilioni 616.5 kati ya mwaka jana hadi Februari mwaka huu.
Taasisi za Serikali kati ya mwaka 2011 hadi mwanzoni mwa mwaka huu zilikuwa zimesababisha ukosefu wa mapato kwa kiwango cha Sh. bilioni 5.184, wakati mashirika ya umma yakisababisha upotevu wa Sh. bilioni 5.153.
Aidha, kupitia eneo hilo hilo la Idara ya Forodha kwa upande wa Biashara za Kimataifa, takwimu zinaonyesha kuwa baadhi ya taasisi za kidini nazo zimo kwenye ufujaji wa mapato ya nchi, na kati ya mwaka jana hadi mwanzoni mwa mwaka huu, milioni 114 zimepotea huku, Sh. bilioni 7.5 zilizopaswa kukusanywa kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) zikiishia katika ‘mifuko’ ya wajanja.
Miradi ya wafadhili nayo imekuwa sehemu ya upotevu wa mapato makubwa ya Serikali na katika kiwango cha jumla cha upotevu wa Sh. trilioni tatu, miradi inayofadhiliwa na nchi wahisani, ujanja umefanyika na upotevu wa Sh. bilioni 170 kati ya kipindi kisichozidi  miaka miwili, kati ya mwaka huu na mwaka jana.
Uchochoro mwingine wa upotevu wa mapato ni baadhi ya ofisi za balozi za nchi mbalimbali zilizopo nchini na katika eneo hili, Sh. bilioni 4. 62 zilizopaswa kukusanywa zimeliwa na mafisadi.
Bidhaa mbalimbali zinazoagizwa na kuingizwa katika majeshi ya ulinzi na usalama, ambako huku kumekuwa na maduka maalumu ya bidhaa mbalimbali kwa ajili ya wanajeshi, nako imebainika kuwa takriban milioni 885 hazijakusanywa.
Lakini wakati hali ikiwa hivyo kwenye majeshi, katika eneo linalohusu bidhaa za kimataifa zinazoingiwa na kampuni au watu binafsi nchini takriban Sh. bilioni 150.2 ‘zimeliwa.’
Sekta ya madini ambayo imekuwa ikilalamikiwa kwa muda mrefu na watu wa kada mbalimbali nchini nayo imepoteza mapato ya Sh. bilioni 92.7, wakati kituo cha uwekezaji nchini kikifanikisha upotevu wa Sh bilioni 179.8.
Idara ya Mapato ya Ndani
Mchanganuo huo wa upotevu wa mapato pia unahusisha eneo la Idara ya Mapato ya Ndani na takwimu zikionyesha kuwa eneo hili limepoteza takriban Sh. trilioni 1.05, ambazo pia zinajumuisha upotevu wa Sh. bilioni 429.2 kutokana na misamaha ya kodi ya  ongezeko la thamani  (VAT)

Pakacha lazidi kuvuja: Trilioni 3/- zapotea


Waziri wa Fedha, Dk. William  Mgimwa
WAKATI Serikali ikithibitisha uwezo wa kukusanya takriban Sh. trilioni nane kutoka vyanzo vya ndani vya mapato katika miezi 12 kuanzia wiki ijayo, uchambuzi wa misamaha ya kodi nchini unaonyesha kuwa takriban Sh. trilioni tatu zimekuwa zikipotea kutokana na biashara za kimataifa, pamoja na uzembe katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, Raia Mwema limeelezwa.
Katika mchanganuo huo ambao pia umezungumziwa na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi ambaye pia ni Mbunge, James Mbatia, taasisi ya Aga Khan inayoendesha baadhi ya huduma za kijamii, zikiwamo hospitali, nayo imetajwa kuhusika katika kundi la NGOs zinazokwepa kulipa kodi kwa kiwango kinachostahili.
Kwa mujibu wa maelezo ya Mbatia, bungeni, wakati akichangia mjadala wa bajeti kuu ya Serikali, wiki iliyopita, takriban Sh bilioni 7.5 zinapotea kupitia kundi hilo la NGOs.
Katika maelezo yake bungeni, Mbatia aliishambulia taasisi ya Aga Khan inayoendesha huduma za hospitali kwa gharama kubwa nchini wakati ikiwa inapata misamaha ya kodi nchini. Aga Khan pia inaendesha huduma za ukumbi kwa ajili ya shughuli mbalimbali nchini, ukiwamo ukumbi wa Diamond Jubilee, ulipo jijini Dar es Salaam.
Huduma hiyo (ya ukumbi), kwa mujibu wa Mbatia, imekuwa ikitozwa gharama za juu bila kujali kuwa taasisi hiyo imekuwa ikipata misamaha ya kodi.
Pamoja na mchango wa Mbatia bungeni, Raia Mwema limepata nyaraka inayoonyesha namna baadhi ya sekta nchini zinavyovujisha mapato ambayo yangeweza kuchangia bajeti ya nchi na hatimaye kupunguza kiwango cha utegemezi kutoka kwa wahisani wa nje ya nchi.
Biashara za kimataifa
Katika eneo la biashara za kimataifa, takwimu zilizopo ambazo baadhi ni kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zinaonyesha kuwa, upotevu wa mapato umekuwa ukiongezeka kutoka jumla ya Sh. bilioni 359 mwaka 2006 na 2007 hadi Sh. bilioni 616.5 kati ya mwaka jana hadi Februari mwaka huu.
Taasisi za Serikali kati ya mwaka 2011 hadi mwanzoni mwa mwaka huu zilikuwa zimesababisha ukosefu wa mapato kwa kiwango cha Sh. bilioni 5.184, wakati mashirika ya umma yakisababisha upotevu wa Sh. bilioni 5.153.
Aidha, kupitia eneo hilo hilo la Idara ya Forodha kwa upande wa Biashara za Kimataifa, takwimu zinaonyesha kuwa baadhi ya taasisi za kidini nazo zimo kwenye ufujaji wa mapato ya nchi, na kati ya mwaka jana hadi mwanzoni mwa mwaka huu, milioni 114 zimepotea huku, Sh. bilioni 7.5 zilizopaswa kukusanywa kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) zikiishia katika ‘mifuko’ ya wajanja.
Miradi ya wafadhili nayo imekuwa sehemu ya upotevu wa mapato makubwa ya Serikali na katika kiwango cha jumla cha upotevu wa Sh. trilioni tatu, miradi inayofadhiliwa na nchi wahisani, ujanja umefanyika na upotevu wa Sh. bilioni 170 kati ya kipindi kisichozidi  miaka miwili, kati ya mwaka huu na mwaka jana.
Uchochoro mwingine wa upotevu wa mapato ni baadhi ya ofisi za balozi za nchi mbalimbali zilizopo nchini na katika eneo hili, Sh. bilioni 4. 62 zilizopaswa kukusanywa zimeliwa na mafisadi.
Bidhaa mbalimbali zinazoagizwa na kuingizwa katika majeshi ya ulinzi na usalama, ambako huku kumekuwa na maduka maalumu ya bidhaa mbalimbali kwa ajili ya wanajeshi, nako imebainika kuwa takriban milioni 885 hazijakusanywa.
Lakini wakati hali ikiwa hivyo kwenye majeshi, katika eneo linalohusu bidhaa za kimataifa zinazoingiwa na kampuni au watu binafsi nchini takriban Sh. bilioni 150.2 ‘zimeliwa.’
Sekta ya madini ambayo imekuwa ikilalamikiwa kwa muda mrefu na watu wa kada mbalimbali nchini nayo imepoteza mapato ya Sh. bilioni 92.7, wakati kituo cha uwekezaji nchini kikifanikisha upotevu wa Sh bilioni 179.8.
Idara ya Mapato ya Ndani
Mchanganuo huo wa upotevu wa mapato pia unahusisha eneo la Idara ya Mapato ya Ndani na takwimu zikionyesha kuwa eneo hili limepoteza takriban Sh. trilioni 1.05, ambazo pia zinajumuisha upotevu wa Sh. bilioni 429.2 kutokana na misamaha ya kodi ya  ongezeko la thamani  (VAT)

WAKULIMA WA ALIZETI MKOANI SINGIDA WAPIGWA MARUFUKU KUUZA KWA WANUNUZI BINAFSI.

Mkuu wa mkoa wa Singida Dk.Parseko Vicent Kone, akitoa amri halali ya kupiga marufuku wanunuzi binafsi kununua Alizeti kwa wakulima na badala yake kazi hiyo itafanywa na vyama vya msingi vya ushirika.
Baadhi ya waandishi wa habari (walioketi mbele) na viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika mkoani Singida wakimsikiliza mkuu wa mkoa Dk.Parseko Vicent Kone (hayupo pichani) akitoa amri halali ya kupiga marufuku wanunnuzi binafsi kununua alizeti.Kazi hiyo ya ununuzi wa zao la Alizeti,sasa itafanywa na vyama vya msingi vya ushirika pekee.Lengo ni mkulima kunufaika na kilimo cha zao hilo.
Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone, amepiga marufuku wanunuzi binafsi kununua zao la alizeti kutoka kwa wakulima.
Amri hiyo halali,imeanza kutekelezwa kuanzia  juzi msimu huu wa mwaka 2011/2012 na kuendelea.
Dk.Kone ametoa amri hiyo halali,juzi wakati akiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi yake mjini hapa.
Alisema lengo la amri hiyo, ni kutoa fursa kwa vyama vya ushirika kuwa wanunuzi pekee wa zao hilo la alizeti ambapo msimu uliopita,liliingizia mkoa pato la zaidi ya shilingi bilioni sita.
Dk.Kone alisema serikali mkoani Singida,imefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa wanunuzi binafsi wamekuwa wakiwanyonya wakulima kwa kununua alizeti kwa bei ndogo sana.
“Pia mkoa umekuwa ukikosa takwimu sahihi za uzalishaji wa alizeti na mbaya zaidi, wanunuzi wamekuwa wakitorosha zao hili kwa njia ya panya, hivyo mkoa kukosa pato litokananlo na alizeti”,alisema Dk.Kone.
Alisema mfumo wa stakabadhi ghalani unaotumiwa na vyama vya msingi vya ushirika, ndio mfumo pekee ambao unaweza kumsaidia mkulima mdogo kupata pato linalolingana na jasho lake.
 ”Lengo kuu la muda mrefu la maendeleo ya Tanzania kwa kizazi kijacho kama ilivyoainishwa kwenye dira ya maendeleo ya Tanzania 2025, ni kupatikana kwa maendeleo endelevu ya binadamu.Kwa hiyo, ushirika ni mojawapo ya nyenzo kukufanikisha dira hiyo”,alisema.
Mkuu huyo wa mkoa, alitoa amri hiyo,alisema “kuanzia juni 21 mwaka huu, na kuendelea vyama vya ushirika vya msingi, ndivyo pekee vitaruhusiwa kununua zoa la alizeti toka kwa wakulima.Wanunuzi binafsi, watanunua alizeti kwenye maghala kwa maelekezo ya chama kikuu cha ushirika, SIFACU na kwa bei watakayokubaliana”.
Mkutano huo wa mkuu wa mkoa wa waandishi wa habari, ulihudhuriwa pia na mwenyekiti wa SIFACU Omari Nyuda na viongozi wa vyama vya ushirika 551.

WAKULIMA WA ALIZETI MKOANI SINGIDA WAPIGWA MARUFUKU KUUZA KWA WANUNUZI BINAFSI.

Mkuu wa mkoa wa Singida Dk.Parseko Vicent Kone, akitoa amri halali ya kupiga marufuku wanunuzi binafsi kununua Alizeti kwa wakulima na badala yake kazi hiyo itafanywa na vyama vya msingi vya ushirika.
Baadhi ya waandishi wa habari (walioketi mbele) na viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika mkoani Singida wakimsikiliza mkuu wa mkoa Dk.Parseko Vicent Kone (hayupo pichani) akitoa amri halali ya kupiga marufuku wanunnuzi binafsi kununua alizeti.Kazi hiyo ya ununuzi wa zao la Alizeti,sasa itafanywa na vyama vya msingi vya ushirika pekee.Lengo ni mkulima kunufaika na kilimo cha zao hilo.
Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone, amepiga marufuku wanunuzi binafsi kununua zao la alizeti kutoka kwa wakulima.
Amri hiyo halali,imeanza kutekelezwa kuanzia  juzi msimu huu wa mwaka 2011/2012 na kuendelea.
Dk.Kone ametoa amri hiyo halali,juzi wakati akiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi yake mjini hapa.
Alisema lengo la amri hiyo, ni kutoa fursa kwa vyama vya ushirika kuwa wanunuzi pekee wa zao hilo la alizeti ambapo msimu uliopita,liliingizia mkoa pato la zaidi ya shilingi bilioni sita.
Dk.Kone alisema serikali mkoani Singida,imefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa wanunuzi binafsi wamekuwa wakiwanyonya wakulima kwa kununua alizeti kwa bei ndogo sana.
“Pia mkoa umekuwa ukikosa takwimu sahihi za uzalishaji wa alizeti na mbaya zaidi, wanunuzi wamekuwa wakitorosha zao hili kwa njia ya panya, hivyo mkoa kukosa pato litokananlo na alizeti”,alisema Dk.Kone.
Alisema mfumo wa stakabadhi ghalani unaotumiwa na vyama vya msingi vya ushirika, ndio mfumo pekee ambao unaweza kumsaidia mkulima mdogo kupata pato linalolingana na jasho lake.
 ”Lengo kuu la muda mrefu la maendeleo ya Tanzania kwa kizazi kijacho kama ilivyoainishwa kwenye dira ya maendeleo ya Tanzania 2025, ni kupatikana kwa maendeleo endelevu ya binadamu.Kwa hiyo, ushirika ni mojawapo ya nyenzo kukufanikisha dira hiyo”,alisema.
Mkuu huyo wa mkoa, alitoa amri hiyo,alisema “kuanzia juni 21 mwaka huu, na kuendelea vyama vya ushirika vya msingi, ndivyo pekee vitaruhusiwa kununua zoa la alizeti toka kwa wakulima.Wanunuzi binafsi, watanunua alizeti kwenye maghala kwa maelekezo ya chama kikuu cha ushirika, SIFACU na kwa bei watakayokubaliana”.
Mkutano huo wa mkuu wa mkoa wa waandishi wa habari, ulihudhuriwa pia na mwenyekiti wa SIFACU Omari Nyuda na viongozi wa vyama vya ushirika 551.

Nguvu yaongezwa kuokoa wagonjwa

SIKU moja baada ya Serikali kutangaza kutumia hospitali za Jeshi na madaktari wastaafu kunusuru afya za wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari nchini, juhudi zaidi zimechukuliwa na sasa itatumia pia hospitali binafsi.
Hospitali za awali zilizotajwa kukubali kushirikiana na Serikali kuokoa maisha ya Watanzania watakaohitaji tiba ya haraka na walio katika tiba isiyoweza kusitishwa ni pamoja na TMJ, Regency, Aga Khan, Hindu Mandal, CCBRT na Hospitali ya Jeshi Lugalo.
Aidha, nguvu zimeongezwa katika hospitali za Mwananyamala, Amana na Temeke za Dar es Salaam kunakodaiwa hakuna mgomo, ili kutotoa rufaa nyingi kwa wagonjwa kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili kunakodaiwa kuwa na mgomo.
Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Nsachris Mwamwaja aliliambia gazeti hili jana ofisini kwake kuwa, utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kuhusu kutumia hospitali za Jeshi na madaktari wastaafu limeanza na sasa nguvu imeongezwa kwa kuhusisha hospitali binafsi.
“Pamoja na Lugalo kuwa tayari, tulikuwa katika mazungumzo na hospitali za binafsi ikiwa ni juhudi hizo hizo za Serikali, hospitali kadhaa zimeshakubali ambazo ni CCBRT, Aga Khan, Hindu Mandal, Regency na TMJ na tunaendelea kuzungumza na nyingine,” alisema Mwamwaja.
Pamoja na hilo, Mwamwaja alisema nguvu kubwa pia imeelekezwa katika hospitali za Mwananyamala, Temeke na Amana kuhakikisha kuwa wagonjwa wanatibiwa kikamilifu.
Akifafanua kuhusu namna ya wagonjwa watakavyotibiwa katika hospitali hizo za binafsi, Mwamwaja alisema;” Kutakuwa na fomu maalumu ambayo daktari wa Amana, Mwananyamala au Temeke atakayeona mgonjwa anahitaji tiba zaidi, atamjazia ili apokewe ama kupelekwa katika hospitali hizo”.
Pia alisema wagonjwa watakaohitaji rufaa, kwa utaratibu huo huo, watatibiwa katika Hospitali ya Jeshi la Lugalo ambayo imekuwa tayari muda mrefu ikishirikiana na hospitali nyingine chini yake.
Alisema mgomo wa awali madaktari walipelekwa Muhimbili kutoa huduma, lakini baadhi ya madaktari wenyeji mgomo wa awali walidaiwa kuwakwamisha makusudi kufanya huduma na Serikali ililiona hivyo na kuona ni bora wagonjwa wapelekwe huko ili kupata tiba vizuri zaidi.
Alisema madaktari wastaafu na wa Wizara kama alivyosema Waziri Mkuu Pinda, ndio watakaohusika Muhimbili. Pinda alieleza hayo juzi bungeni akijibu swali la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe aliyetaka kujua hatua za Serikali kukabili mgomo huo.
Jana gazeti hili lilifika Muhimbili kufuatilia mgomo, lakini ilishindikana baada ya ofisi za wasemaji na lango la Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) kufungwa ili waandishi wasiingie.
Mlinzi wa MOI ambaye hakufahamika jina, aliwaeleza waandishi kuwa, amepewa agizo kuwa mwandishi yeyote asiingie kupata taarifa za mgomo au za Dk Steven Ulimboka.
Mmoja wa wagonjwa Lydia Rwechungura kutoka Chamwino, Dodoma, akiwa nje ya lango la MOI alisema, alifika hospitalini hapo Juni 25 mwaka huu baada ya kupewa rufaa ya Hospitali ya Mkoa Dodoma na sasa hajui afanyeje.
“Pingili za uti wa mgongo zinasigana, nilikuja wakaniambia nije leo (jana) tarehe 29 ili nianze mazoezi, nimeingia humo ndani, mapokezi wameniambia niondoke maana hakuna huduma.
Eti niangalie vyombo vya habari mgomo ukiisha ndio nije, sijui niende wapi, kwa nini madaktari hawana huruma jamani,” alisema Rwechungura huku akilia.
Eneo la Hospitali ya Muhimbili tofauti na siku nyingine, jana lilikuwa kimya, hakukuwa na pilikapilika za wagonjwa wala wahudumu na baadhi ya wagonjwa walionekana kuingia na kutoka huku wengine wakisikitika kwa kuelezwa kuwa hakuna huduma.
Simu za Jumaa Almasi, Ofisa Uhusiano wa MOI ziliita bila majibu na Ofisa Uhusiano wa Muhimbili, Aminiel Aligaeshi alikataa kuzungumza na waandishi akidai hajui kama mgomo upo au haupo na kuwataka wamtafute jana jioni. Alipotafutwa simu haikuwa hewani.
Bugando, Sekou Toure zatimua 63
Wakati hali ya huduma ikizorota Muhimbili, Mkoa Mwanza madaktari 63 waliopo kwenye mafunzo kwa vitendo kazini katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando na ya Sekou Toure wametimuliwa kutokana na mgomo na kurejeshwa wizarani, anaripoti Grace Chilongola.
Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Dk. Charles Majinge alisema inawarejesha wizarani madaktari 47 baada ya kukataa kurejea kazini.
“Hospitali ya Bugando ina jumla ya madaktari 47 walio katika mafunzo kazini ambao tumewarudisha wizarani wamegoma kurejea katika mafunzo kazini, na sasa kwa kuwa walitoka wizarani kuja hapa kwetu kwenye mafunzo, basi tunawarejesha huko walikotoka,” alisema Dk. Majinge.
Alisema kuwa kuondoka kwa madaktari hao, waliokuwa katika mgomo kutaathiri utendaji wa utoaji huduma, kwa muda mpaka baadaye watakapojipanga na kupata ufumbuzi wa kudumu.
Kwa upande wa Hospitali ya Mkoa wa Mwanza ya Sekou Toure, madaktari 16 waliopo kwenye mafunzo kazini wamesimamishwa pia kwa agizo la Wizara ambao waliamuliwa kuchukua barua zao na kuondoka katika eneo la Hospitali ya Sekou Toure.
Mganga Mkuu wa Mkoa, Valentine Bhangi akielezea kutimuliwa kwa madaktari hao alisema kwa vile madaktari hao waliletwa na wizara hapo kwa ajili ya mafunzo kazini, wamerejeshwa huko walikotoka kwa hatua zaidi.
Dodoma mgomo baridi
Madaktari katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma wameingia kwenye mgomo baridi hali ambayo inasababisha wagonjwa kutopata huduma kwa wakati huku wengine wakitaka Serikali itazame hatima ya wananchi wa kipato cha chini ambao hawana uwezo wa kwenda hospitali za kulipia, anaripoti Sifa Lubasi.
Hata hivyo, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, Dk Ezekiel Mpuya alisema kuwa hakuna mgomo hospitalini hapo na wanaendelea na kazi kama kawaida.
Mwandishi wa habari hizi alifika hospitalini hapo jana na kushuhudia msululu mrefu wa wagonjwa wakiwa kwenye foleni ya kumuona daktari ambapo ni daktari moja tu alikuwa akitoa huduma huku vyumba vingine vya madaktari vikiwa havitoi huduma yoyote.
Mmoja wa wananchi hao, Zakaria Daudi ambaye ni mkazi wa Chamwino katika Manispaa ya Dodoma alisema kuwa, hali ya huduma sio nzuri kwani wanalazimika kusubiri kuingia kwa daktari muda mrefu bila ya mafanikio.
“Tangu juzi namleta hapa mke wangu bado hajapata huduma napigwa tu kalenda bila huduma yoyote kama wamegoma waseme ukweli,” alisema. Kwa upande wake, mkazi wa Nkuhungu, Kunze George alimtaka Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kuwa mkweli kuwa kuna mgomo na si kusema hali shwari wakati wananchi wanateseka kwa kukosa huduma.
Wakati huohuo, afya ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari wanaoongoza mgomo, Dk Steven Ulimboka, imeelezwa kuwa inaendelea vizuri.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Jopo la Madaktari wanaomtibu daktari huyo, Profesa Joseph Kahamba, wanaendelea kumtibu akiwa chini ya uangalizi wao katika kitengo cha wagonjwa mahututi.

Nguvu yaongezwa kuokoa wagonjwa

SIKU moja baada ya Serikali kutangaza kutumia hospitali za Jeshi na madaktari wastaafu kunusuru afya za wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari nchini, juhudi zaidi zimechukuliwa na sasa itatumia pia hospitali binafsi.
Hospitali za awali zilizotajwa kukubali kushirikiana na Serikali kuokoa maisha ya Watanzania watakaohitaji tiba ya haraka na walio katika tiba isiyoweza kusitishwa ni pamoja na TMJ, Regency, Aga Khan, Hindu Mandal, CCBRT na Hospitali ya Jeshi Lugalo.
Aidha, nguvu zimeongezwa katika hospitali za Mwananyamala, Amana na Temeke za Dar es Salaam kunakodaiwa hakuna mgomo, ili kutotoa rufaa nyingi kwa wagonjwa kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili kunakodaiwa kuwa na mgomo.
Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Nsachris Mwamwaja aliliambia gazeti hili jana ofisini kwake kuwa, utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kuhusu kutumia hospitali za Jeshi na madaktari wastaafu limeanza na sasa nguvu imeongezwa kwa kuhusisha hospitali binafsi.
“Pamoja na Lugalo kuwa tayari, tulikuwa katika mazungumzo na hospitali za binafsi ikiwa ni juhudi hizo hizo za Serikali, hospitali kadhaa zimeshakubali ambazo ni CCBRT, Aga Khan, Hindu Mandal, Regency na TMJ na tunaendelea kuzungumza na nyingine,” alisema Mwamwaja.
Pamoja na hilo, Mwamwaja alisema nguvu kubwa pia imeelekezwa katika hospitali za Mwananyamala, Temeke na Amana kuhakikisha kuwa wagonjwa wanatibiwa kikamilifu.
Akifafanua kuhusu namna ya wagonjwa watakavyotibiwa katika hospitali hizo za binafsi, Mwamwaja alisema;” Kutakuwa na fomu maalumu ambayo daktari wa Amana, Mwananyamala au Temeke atakayeona mgonjwa anahitaji tiba zaidi, atamjazia ili apokewe ama kupelekwa katika hospitali hizo”.
Pia alisema wagonjwa watakaohitaji rufaa, kwa utaratibu huo huo, watatibiwa katika Hospitali ya Jeshi la Lugalo ambayo imekuwa tayari muda mrefu ikishirikiana na hospitali nyingine chini yake.
Alisema mgomo wa awali madaktari walipelekwa Muhimbili kutoa huduma, lakini baadhi ya madaktari wenyeji mgomo wa awali walidaiwa kuwakwamisha makusudi kufanya huduma na Serikali ililiona hivyo na kuona ni bora wagonjwa wapelekwe huko ili kupata tiba vizuri zaidi.
Alisema madaktari wastaafu na wa Wizara kama alivyosema Waziri Mkuu Pinda, ndio watakaohusika Muhimbili. Pinda alieleza hayo juzi bungeni akijibu swali la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe aliyetaka kujua hatua za Serikali kukabili mgomo huo.
Jana gazeti hili lilifika Muhimbili kufuatilia mgomo, lakini ilishindikana baada ya ofisi za wasemaji na lango la Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) kufungwa ili waandishi wasiingie.
Mlinzi wa MOI ambaye hakufahamika jina, aliwaeleza waandishi kuwa, amepewa agizo kuwa mwandishi yeyote asiingie kupata taarifa za mgomo au za Dk Steven Ulimboka.
Mmoja wa wagonjwa Lydia Rwechungura kutoka Chamwino, Dodoma, akiwa nje ya lango la MOI alisema, alifika hospitalini hapo Juni 25 mwaka huu baada ya kupewa rufaa ya Hospitali ya Mkoa Dodoma na sasa hajui afanyeje.
“Pingili za uti wa mgongo zinasigana, nilikuja wakaniambia nije leo (jana) tarehe 29 ili nianze mazoezi, nimeingia humo ndani, mapokezi wameniambia niondoke maana hakuna huduma.
Eti niangalie vyombo vya habari mgomo ukiisha ndio nije, sijui niende wapi, kwa nini madaktari hawana huruma jamani,” alisema Rwechungura huku akilia.
Eneo la Hospitali ya Muhimbili tofauti na siku nyingine, jana lilikuwa kimya, hakukuwa na pilikapilika za wagonjwa wala wahudumu na baadhi ya wagonjwa walionekana kuingia na kutoka huku wengine wakisikitika kwa kuelezwa kuwa hakuna huduma.
Simu za Jumaa Almasi, Ofisa Uhusiano wa MOI ziliita bila majibu na Ofisa Uhusiano wa Muhimbili, Aminiel Aligaeshi alikataa kuzungumza na waandishi akidai hajui kama mgomo upo au haupo na kuwataka wamtafute jana jioni. Alipotafutwa simu haikuwa hewani.
Bugando, Sekou Toure zatimua 63
Wakati hali ya huduma ikizorota Muhimbili, Mkoa Mwanza madaktari 63 waliopo kwenye mafunzo kwa vitendo kazini katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando na ya Sekou Toure wametimuliwa kutokana na mgomo na kurejeshwa wizarani, anaripoti Grace Chilongola.
Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Dk. Charles Majinge alisema inawarejesha wizarani madaktari 47 baada ya kukataa kurejea kazini.
“Hospitali ya Bugando ina jumla ya madaktari 47 walio katika mafunzo kazini ambao tumewarudisha wizarani wamegoma kurejea katika mafunzo kazini, na sasa kwa kuwa walitoka wizarani kuja hapa kwetu kwenye mafunzo, basi tunawarejesha huko walikotoka,” alisema Dk. Majinge.
Alisema kuwa kuondoka kwa madaktari hao, waliokuwa katika mgomo kutaathiri utendaji wa utoaji huduma, kwa muda mpaka baadaye watakapojipanga na kupata ufumbuzi wa kudumu.
Kwa upande wa Hospitali ya Mkoa wa Mwanza ya Sekou Toure, madaktari 16 waliopo kwenye mafunzo kazini wamesimamishwa pia kwa agizo la Wizara ambao waliamuliwa kuchukua barua zao na kuondoka katika eneo la Hospitali ya Sekou Toure.
Mganga Mkuu wa Mkoa, Valentine Bhangi akielezea kutimuliwa kwa madaktari hao alisema kwa vile madaktari hao waliletwa na wizara hapo kwa ajili ya mafunzo kazini, wamerejeshwa huko walikotoka kwa hatua zaidi.
Dodoma mgomo baridi
Madaktari katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma wameingia kwenye mgomo baridi hali ambayo inasababisha wagonjwa kutopata huduma kwa wakati huku wengine wakitaka Serikali itazame hatima ya wananchi wa kipato cha chini ambao hawana uwezo wa kwenda hospitali za kulipia, anaripoti Sifa Lubasi.
Hata hivyo, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, Dk Ezekiel Mpuya alisema kuwa hakuna mgomo hospitalini hapo na wanaendelea na kazi kama kawaida.
Mwandishi wa habari hizi alifika hospitalini hapo jana na kushuhudia msululu mrefu wa wagonjwa wakiwa kwenye foleni ya kumuona daktari ambapo ni daktari moja tu alikuwa akitoa huduma huku vyumba vingine vya madaktari vikiwa havitoi huduma yoyote.
Mmoja wa wananchi hao, Zakaria Daudi ambaye ni mkazi wa Chamwino katika Manispaa ya Dodoma alisema kuwa, hali ya huduma sio nzuri kwani wanalazimika kusubiri kuingia kwa daktari muda mrefu bila ya mafanikio.
“Tangu juzi namleta hapa mke wangu bado hajapata huduma napigwa tu kalenda bila huduma yoyote kama wamegoma waseme ukweli,” alisema. Kwa upande wake, mkazi wa Nkuhungu, Kunze George alimtaka Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kuwa mkweli kuwa kuna mgomo na si kusema hali shwari wakati wananchi wanateseka kwa kukosa huduma.
Wakati huohuo, afya ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari wanaoongoza mgomo, Dk Steven Ulimboka, imeelezwa kuwa inaendelea vizuri.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Jopo la Madaktari wanaomtibu daktari huyo, Profesa Joseph Kahamba, wanaendelea kumtibu akiwa chini ya uangalizi wao katika kitengo cha wagonjwa mahututi.

Serikali yaomba madaktari nje ya nchi • Bilioni 200 zatengwa kuwalipa

Kutoka Dodoma...
 
SERIKALI imeamua kuagiza madaktari kutoka nchi za nje watakaochukua nafasi ya wale wa hapa nchini ambao wamegoma kuanzia mwishoni mwa wiki iliyopita.
Habari kutoka katika moja ya vyanzo vya kuaminika zimesema kuwa uamuzi huo wa serikali ulipitishwa katika kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana mjini Dodoma juzi chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete.
Habari kutoka ndani ya kikao hicho zilidai kuwa Rais Kikwete alikerwa na tabia ya madaktari kupingana na serikali licha ya juhudi zote zilizofanywa kuboresha maslahi yao.
Kwa mujibu wa habari hizo, kiasi cha sh bilioni 200 kimetengwa kwa ajili ya kuwaleta na kuwagharimia  madaktari hao wa nje na pia baraza limepitisha azimio la kuzungumza na hospitali za jeshi kama  Lugalo na zingine ndogo kubeba jukumu hilo kwa sasa pamoja kuagiza madaktari wastaafu wote warejee kazini katika kipindi hiki cha mgomo.
Habari zimedai kuwa madaktari hao wanasadikiwa watatoka katika nchi rafiki, zikiwemo India, China, Cuba na Afrika Kusini, na kwamba wataziba kikamilifu pengo la wale wa hapa nchini ambao wamegoma.
Inaelezwa kuwa mara baada aya kukamilika na kuanza rasmi kwa huduma za matibabu, madaktari wa hapa nchini waliomo katika mgomo na wale zaidi ya 200 waliodaiwa kufukuzwa na serikali kimyakimya, watalazimika kurejeshwa kazini kwa masharti makali.
Hata hivyo, uamuzi wa serikali  kuwatimua madaktari wakati suala lao liko mahakamani, umewagawa wabunge.
Baadhi ya wabunge walijaribu kuhoji suala hilo Bungeni, lakini walikwama baada ya Spika Anna Makinda  kuzuia mjadala huo kwa madai kuwa suala hilo liko mahakamani.
Mbunge wa Nzega, Dk. Hamis Kigwangala, alisema kuwa kilichofanywa na serikali ni kiini macho kwani juzi Waziri Mkuu Mizengo Pinda  alisema serikali  haiwezi kutoa kauli dhidi ya madaktari kwa madai kuwa kuna kesi mahakamani.
“Juzi serikali imesema kuwa haiwezi kutoa kauli kwa vile jambo hilo lipo mahakamani, sasa imewezaje kuwafukuza madaktari wakati jambo lipo mahakamani?” alihoji Dk. Kigwang’ala.
Aliitaka serikali kuondoa kesi hiyo ili kurejesha majadiliano kwani ndio njia pekee ya kukabiliana na mgogoro huo.
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, alimshangaa Spika Anna Makinda kuzuia mjadala huo kwani ungeweza kujadiliwa bila kuingilia uhuru wa mahakama.
Juzi uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili,  uliwafukuza kazi madaktari 229 walioko katika mafunzo kwa njia ya vitendo kutokana na mgomo unaoendelea wa kushinikiza  kulipwa posho zao za mwezi mmoja.
Hospitali zingine ambako madaktari wamefukuzwa kutokana na mgomo huo ni pamoja na Mbeya na Dodoma.
Jeshi lachukua nafasi za madaktari
Wakati huo huo Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeanza kutekeleza kwa vitendo agizo la serikali la kutoa huduma za kitabibu kwa wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari nchini.
Juzi Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa bungeni alisema serikali imeamua kuwatumia madaktari waliopo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, wastaafu na hospitali zote za jeshi kuendelea kutoa huduma ya matibabu kwa wagonjwa.
Msemaji wa JWTZ Kanali Kapambala Mgawe katika mahojiano maalum na gazeti hili, alisema juzi baada ya Waziri Mkuu Pinda kutoa agizo hilo, walianza utekelezaji wake ambapo kwa jiji la Dar es Salaam, hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo Kikosi ya 521, Mgulani na ile ya Kikosi cha Navy-Kigamboni na hospitali zake zote kote nchini zilianza kutoa huduma hiyo bila vikwazo.
“Kwanza naomba umma uelewe hivi hospitali za JWTZ hapa nchini kwa asilimia 70 zimekuwa zikiwatibu raia bila vikwazo vyovyote hivyo agizo hilo la serikali huenda likaongeza idadi ya wagonjwa kutibiwa katika hospitali zetu labda kwa asilimia 90.
Mgawe alisema madaktari wanajeshi wapo kwa ajili ya kulinda taifa na watu wake, hivyo akawahakikishia wananchi wanaougua kutosita kwenda katika hospitali za jeshi hilo kutibiwa akidai kuwa hawaoni mantiki ya daktari kugoma.

Serikali yaomba madaktari nje ya nchi • Bilioni 200 zatengwa kuwalipa

Kutoka Dodoma...
 
SERIKALI imeamua kuagiza madaktari kutoka nchi za nje watakaochukua nafasi ya wale wa hapa nchini ambao wamegoma kuanzia mwishoni mwa wiki iliyopita.
Habari kutoka katika moja ya vyanzo vya kuaminika zimesema kuwa uamuzi huo wa serikali ulipitishwa katika kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana mjini Dodoma juzi chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete.
Habari kutoka ndani ya kikao hicho zilidai kuwa Rais Kikwete alikerwa na tabia ya madaktari kupingana na serikali licha ya juhudi zote zilizofanywa kuboresha maslahi yao.
Kwa mujibu wa habari hizo, kiasi cha sh bilioni 200 kimetengwa kwa ajili ya kuwaleta na kuwagharimia  madaktari hao wa nje na pia baraza limepitisha azimio la kuzungumza na hospitali za jeshi kama  Lugalo na zingine ndogo kubeba jukumu hilo kwa sasa pamoja kuagiza madaktari wastaafu wote warejee kazini katika kipindi hiki cha mgomo.
Habari zimedai kuwa madaktari hao wanasadikiwa watatoka katika nchi rafiki, zikiwemo India, China, Cuba na Afrika Kusini, na kwamba wataziba kikamilifu pengo la wale wa hapa nchini ambao wamegoma.
Inaelezwa kuwa mara baada aya kukamilika na kuanza rasmi kwa huduma za matibabu, madaktari wa hapa nchini waliomo katika mgomo na wale zaidi ya 200 waliodaiwa kufukuzwa na serikali kimyakimya, watalazimika kurejeshwa kazini kwa masharti makali.
Hata hivyo, uamuzi wa serikali  kuwatimua madaktari wakati suala lao liko mahakamani, umewagawa wabunge.
Baadhi ya wabunge walijaribu kuhoji suala hilo Bungeni, lakini walikwama baada ya Spika Anna Makinda  kuzuia mjadala huo kwa madai kuwa suala hilo liko mahakamani.
Mbunge wa Nzega, Dk. Hamis Kigwangala, alisema kuwa kilichofanywa na serikali ni kiini macho kwani juzi Waziri Mkuu Mizengo Pinda  alisema serikali  haiwezi kutoa kauli dhidi ya madaktari kwa madai kuwa kuna kesi mahakamani.
“Juzi serikali imesema kuwa haiwezi kutoa kauli kwa vile jambo hilo lipo mahakamani, sasa imewezaje kuwafukuza madaktari wakati jambo lipo mahakamani?” alihoji Dk. Kigwang’ala.
Aliitaka serikali kuondoa kesi hiyo ili kurejesha majadiliano kwani ndio njia pekee ya kukabiliana na mgogoro huo.
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, alimshangaa Spika Anna Makinda kuzuia mjadala huo kwani ungeweza kujadiliwa bila kuingilia uhuru wa mahakama.
Juzi uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili,  uliwafukuza kazi madaktari 229 walioko katika mafunzo kwa njia ya vitendo kutokana na mgomo unaoendelea wa kushinikiza  kulipwa posho zao za mwezi mmoja.
Hospitali zingine ambako madaktari wamefukuzwa kutokana na mgomo huo ni pamoja na Mbeya na Dodoma.
Jeshi lachukua nafasi za madaktari
Wakati huo huo Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeanza kutekeleza kwa vitendo agizo la serikali la kutoa huduma za kitabibu kwa wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari nchini.
Juzi Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa bungeni alisema serikali imeamua kuwatumia madaktari waliopo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, wastaafu na hospitali zote za jeshi kuendelea kutoa huduma ya matibabu kwa wagonjwa.
Msemaji wa JWTZ Kanali Kapambala Mgawe katika mahojiano maalum na gazeti hili, alisema juzi baada ya Waziri Mkuu Pinda kutoa agizo hilo, walianza utekelezaji wake ambapo kwa jiji la Dar es Salaam, hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo Kikosi ya 521, Mgulani na ile ya Kikosi cha Navy-Kigamboni na hospitali zake zote kote nchini zilianza kutoa huduma hiyo bila vikwazo.
“Kwanza naomba umma uelewe hivi hospitali za JWTZ hapa nchini kwa asilimia 70 zimekuwa zikiwatibu raia bila vikwazo vyovyote hivyo agizo hilo la serikali huenda likaongeza idadi ya wagonjwa kutibiwa katika hospitali zetu labda kwa asilimia 90.
Mgawe alisema madaktari wanajeshi wapo kwa ajili ya kulinda taifa na watu wake, hivyo akawahakikishia wananchi wanaougua kutosita kwenda katika hospitali za jeshi hilo kutibiwa akidai kuwa hawaoni mantiki ya daktari kugoma.

Wasomi walaani kupigwa Ulimboka



BAADHI ya wasomi nchini wamelaani kitendo cha kupigwa kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari, Dk Stephen Ulimboka, wakisema kuwa kimechukua sura ya usalama wa taifa badala ya mgogoro wa madaktari.
 Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Bashiru Ally, alisema suala hili sasa limevuka hatua ya mgogoro wa madaktari na limechukua sura ya usalama wa nchi.

Alisema mahali ambapo suala hili limefikia wananchi wanataka kuona hatua zinachukuliwa na siyo masuala ya kuambiwa kuwa mihimili inaingiliana.

“Jana (juzi) Waziri Mkuu alisema atatoa tamko la Serikali leo (jana), akisema liwalo na liwe, huku watu wakisubiri tamko hilo, Bunge linasema haliwezi kufanya hivyo kwa sababu mihimili inaingiliana,” anasema na kuongeza:

“Wanasema hivyo huku watu wanakufa, watu hawajui wala kutaka kusikia mambo ya mihimili, sijui tulibeba kamati kwa ndege, wanataka kupata majibu ya hali hii kutoka kwa Serikali.”

Mhadhiri huyo alisema  kuwa, watu wengi akiwamo yeye mwenyewe anaogopa hata kutoka ndani kwani, kama siyo Serikali iliyohusika, basi hata kikundi hicho hakijulikani kina orodha ya watu wangapi wanaotakiwa kufanyiwa unyama huo.
Alisema kuwa, mgogoro huu umeanza tangu Desemba mwaka jana ambapo madaktari wa mafunzo kwa vitendo waligoma wakidai fedha za chakula na vifaa vya kufanyia kazi, lakini mpaka sasa Serikali imeshindwa kupata ufumbuzi.

“Wanasema udaktari ni wito, nani anaweza kufanya kazi akiwa na njaa, kwa nini wao Wabunge wasijitolee kwenda bungeni bila kulipwa posho, waache kutuambia mambo ya separation of power ‘(mgawanyo wa madaraka);  watu  wanakufa hospitali, wanataka majibu ya Serikali,” alisema Bashiru.
Alisema kuwa  kuwa, lugha zinazotolewa sasa hivi juu ya mgomo wa madaktari, ni lugha za viongozi walioshindwa kutawala.

Kwa upande wake Profesa Abdallah Safari, anasema unyama aliofanyiwa Dk Ulimboka unaonyesha kuwa, sasa Tanzania imefikia katika Siasa za Kimafia.

 “Tumezoea kusikia wanauliwa wanasiasa, lakini kwetu Tanzania tumeanzisha historia mpya ya kutaka kuuwa Professionals  (wataalam) kitu ambacho kwa Afrika hakijawahi kutokea,” alisema Safari.
Alisema kuwa, suala hili lisichukuliwe kwa mzaha na kutaka Tume Huru ilichunguzwe kwa kuwa, Serikali inadaiwa kuhusika katika tukio hilo.

“Polisi hapa wanasema wanalichunguza, lakini wao ndio wanatuhumiwa, hapa hayatapatikana majibu sahihi, ni lazima kuwe  na tume huru,” alisema Profesa Safari.

Aidha  Dk Benson Bana, aliwataka Watanzania waungane kulaani tukio la kupigwa kwa Dk Ulimboka, kwa kile alichosema siyo utamaduni wa Watanzania.

 “Lakini nawataka madaktari wajiangalie upya, huwezi kudai haki huku watu wakiwa wanakufa, wakae meza moja na Serikali wajadiliane,” alisema Dk Bana.

Wasomi walaani kupigwa Ulimboka



BAADHI ya wasomi nchini wamelaani kitendo cha kupigwa kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari, Dk Stephen Ulimboka, wakisema kuwa kimechukua sura ya usalama wa taifa badala ya mgogoro wa madaktari.
 Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Bashiru Ally, alisema suala hili sasa limevuka hatua ya mgogoro wa madaktari na limechukua sura ya usalama wa nchi.

Alisema mahali ambapo suala hili limefikia wananchi wanataka kuona hatua zinachukuliwa na siyo masuala ya kuambiwa kuwa mihimili inaingiliana.

“Jana (juzi) Waziri Mkuu alisema atatoa tamko la Serikali leo (jana), akisema liwalo na liwe, huku watu wakisubiri tamko hilo, Bunge linasema haliwezi kufanya hivyo kwa sababu mihimili inaingiliana,” anasema na kuongeza:

“Wanasema hivyo huku watu wanakufa, watu hawajui wala kutaka kusikia mambo ya mihimili, sijui tulibeba kamati kwa ndege, wanataka kupata majibu ya hali hii kutoka kwa Serikali.”

Mhadhiri huyo alisema  kuwa, watu wengi akiwamo yeye mwenyewe anaogopa hata kutoka ndani kwani, kama siyo Serikali iliyohusika, basi hata kikundi hicho hakijulikani kina orodha ya watu wangapi wanaotakiwa kufanyiwa unyama huo.
Alisema kuwa, mgogoro huu umeanza tangu Desemba mwaka jana ambapo madaktari wa mafunzo kwa vitendo waligoma wakidai fedha za chakula na vifaa vya kufanyia kazi, lakini mpaka sasa Serikali imeshindwa kupata ufumbuzi.

“Wanasema udaktari ni wito, nani anaweza kufanya kazi akiwa na njaa, kwa nini wao Wabunge wasijitolee kwenda bungeni bila kulipwa posho, waache kutuambia mambo ya separation of power ‘(mgawanyo wa madaraka);  watu  wanakufa hospitali, wanataka majibu ya Serikali,” alisema Bashiru.
Alisema kuwa  kuwa, lugha zinazotolewa sasa hivi juu ya mgomo wa madaktari, ni lugha za viongozi walioshindwa kutawala.

Kwa upande wake Profesa Abdallah Safari, anasema unyama aliofanyiwa Dk Ulimboka unaonyesha kuwa, sasa Tanzania imefikia katika Siasa za Kimafia.

 “Tumezoea kusikia wanauliwa wanasiasa, lakini kwetu Tanzania tumeanzisha historia mpya ya kutaka kuuwa Professionals  (wataalam) kitu ambacho kwa Afrika hakijawahi kutokea,” alisema Safari.
Alisema kuwa, suala hili lisichukuliwe kwa mzaha na kutaka Tume Huru ilichunguzwe kwa kuwa, Serikali inadaiwa kuhusika katika tukio hilo.

“Polisi hapa wanasema wanalichunguza, lakini wao ndio wanatuhumiwa, hapa hayatapatikana majibu sahihi, ni lazima kuwe  na tume huru,” alisema Profesa Safari.

Aidha  Dk Benson Bana, aliwataka Watanzania waungane kulaani tukio la kupigwa kwa Dk Ulimboka, kwa kile alichosema siyo utamaduni wa Watanzania.

 “Lakini nawataka madaktari wajiangalie upya, huwezi kudai haki huku watu wakiwa wanakufa, wakae meza moja na Serikali wajadiliane,” alisema Dk Bana.

Daktari: Hali ya Ulimboka mbaya


Mgonjwa akiwa nje ya geti la Taasisi ya Mifupa MOI jijini Dar es Salaam jana akiwa ajui chakufanya baada kukuta geti hilo limefungwa kutokana na mgomo wa madaktari unaoendelea nchini.Picha na Venance Nestory
ASEMA FIGO ZAKE ZIMESHINDWA KAZI, ZATAKIWA DOLA 40,000 KUMPELEKA INDIA

AFYA ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Steven Ulimboka imebadilika na kuwa mbaya, baada ya figo zake kushindwa kufanya kazi ya kuchuja sumu ya mwili na kusababisha apatiwe huduma ya kusafisha damu yake.

Habari zilizopatikana jana na kuthibitishwa na kiongozi wa jopo la madaktari wanaoendelea kumtibu, Profesa Joseph Kahamba, zilieleza kuwa hali ya Dk Ulimboka ilibadilika na kuwa mbaya na hivyo kuwapo mikakati wa madaktari wenzake kukusanya fedha ili kumpeleka nje ya nchi.

Dk Ulimboka ambaye amelazwa katika Kitengo cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalumu (ICU) katika Taasisi ya Mifupa (MOI), alipatiwa huduma hiyo jana asubuhi kwa kutumia mashine maalumu, iliyoko katika Kitengo cha Watoto cha Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Daktari huyo ambaye alikuwa anaratibu mgomo wa madaktari unaoendelea nchi nzima kutokana na Serikali kushindwa kutimiza madai yao mbalimbali, amelazwa kutokana na majereha aliyoyapata katika sehemu mbalimbali za mwili, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana, kisha kupigwa, kung'olewa kucha, meno mawili na kutupwa katika Msitu wa Pande, usiku wa kuamkia Jumatano.

Tangu alazwe MOI baada ya kuokotwa na wasamalia wema, katika Msitu wa Pande uliopo nje kidogo ya Jiji la Dares Salaam, hali ya afya ya Dk Ulimboka imekuwa tete na jana ilizidi kuwa mbaya.

Kauli ya Dk Kahamba

Akizungumza na gazeti hili jana, Profesa Kahamba alisema kutokana na tatizo hilo, mgonjwa huyo jana alilazimika kusafishwa damu.

Alieleza hayo alipotakiwa kuthibitisha taarifa zilizolifikia gazeti hili kuwa afya ya Dk Ulimboka haikuwa nzuri na madaktari wanachangishana fedha kumpeleka kwenye matatibu ya kusafishwa damu katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam au nje ya nchi.

"Taarifa hizo zina ukweli, lakini siyo jambo rahisi kiasi hicho kwamba anatakiwa kusafishwa damu. Kama ni damu amesafishwa leo (jana) asubuhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili," alisema Profesa Kahamba na kuendelea:

"Suala lake ni complicated (tata) zaidi, lakini ili watu waelewe, siyo mbaya mkisema figo zimefeli(zimeshindwa kufanya kazi)."

Alipotakiwa kueleza sababu ya tatizo hilo, Profesa Kahamba alisema, "Siwezi kueleza kwa undani ila haya maumivu ya kupigwa na kuteswa yanachangia kwa kiasi kikubwa."

Alipotakiwa kueleza yeye anaonaje hali ya sasa ya Dk Ulimboka, Profesa Kahamba alisema: “Ni uongo tukisema anaendelea vizuri."

Aliendelea, "Unajua alipofikishwa hapa Muhimbili juzi (Jumatano) afya yake ilikuwa mbaya, na jana (Alhamisi) alionekana kuendelea vizuri, lakini jana hiyohiyo, hali yake ilianza kubadilika na vipimo vilionyesha kuwa ana complications (matatizo) za figo.

"Sasa figo ni kitu sensitive (muhimu) sana, anahitaji uangalizi wa karibu na kimsingi hatuwezi kusema kwamba anaendelea vizuri. Ni vyema tukisema tu afya yake ni mbaya," alieleza.

Taarifa za awali kutoka kwenye chanzo chetu hospitalini hapo, zilieleza kuwa Dk Ulimboka ambaye alipata tatizo linalojulikana kama “Acute renal failure”, alifanyiwa tiba inayojulikana kama Dialysis, ambayo ni kitendo kutumia mashine maalumu kufanya kazi ya kuchuja sumu ya mwili kwenda kwenye mkojo, baada ya figo ambazo hufanya kazi hiyo kushindwa.
Kwa mujibu wa chanzo hicho, Dialysis inaweza kumsadia mgonjwa ambaye figo zake zimeshindwa kufanya kazi, kuishi kama kawaida, lakini kwa Dk Ulimboka haikutoa matokeo mazuri.

Michango ya madaktari

Jana ulifanyika Mkutano wa Madaktari Bingwa wa MNH, Chuo Kikuu Sayansi ya Tiba Muhimbili (MUHAS) na Ocean Road (ORCI) na kuazimia kukusanya Dola za Marekani 40,000 (Sh64,000,000) ili Dk Ulimboka asafirishwe kwenda India kwa matibabu zaidi.

Taarifa za maazimio hayo zilitangazwa kwa waandishi wa habari na Katibu wa Jumuiya ya Madaktari, Dk Edwin Chitega, kuwa afya ya Dk Ulimboka haikuwa nzuri hivyo zikipatikana fedha hizo angepelekwa nje ya nchi.

Dk Chitega aliwataka wanataaluma hao na wananchi kwa ujumla kuchangia safari hiyo ili kuokoa maisha ya daktari huyo, huku akitaja namba za mawakala wa simu za Vodacom na Tigo, ambazo zitatumika kukusanya michango hiyo.

Habari zilizopatikana baadaye wakati tunakwenda mitamboni zilieleza kuwa, Dk Ulimboka alitarajiwa kusafirishwa kwenda Nairobi, Kenya kwa matibabu zaidi.


TANNA MOI watoa tamko
Katika hatua nyingine, Chama cha Wauguzi (Tanna), Tawi la MOI kilitoa tamko la kulaani kitendo cha kutekwa, kupigwa na kujeruhiwa kwa Dk Ulimboka na kutaka uchunguzi wa kina na haraka ufanyike ili kubaini watu waliohusika.

Mwenyekiti wa Tanna, Tawi la Moi, Prisca Tarimo alisema katika tamko hilo kuwa, kitendo alichofanyiwa Dk Ulimboka ni cha kinyama na kisicho cha kiutu.

Katika tamko hilo, Tanna imeomba Serikali kutafuta suluhu ya mgomo huo haraka kwa kuwa unaathiri maisha ya watu na kuwaongezea mzigo wa kiutendaji wauguzi.

Mgomo wa madakati unaingia siku ya saba leo, huku suluhu ya kuaminika ya kutatua tatizo hilo, ikiwa bado haijapatikana.

Polisi wakanusha
Katika hatua nyingine, James Magai anaripoti kuwa, Jeshi la Polisi limekanusha kumteka na kumjeruhi Dk Ulimboka, huku likipinga pia taarifa za daktari huyo kumtambua mmoja wa askari walio katika jopo la uchunguzi wa tukilo hilo alipokwenda kumtembelea hospitalini.

Pia jeshi hilo limetoa wito kwa madaktari hao walioko katika mgomo kuwa na busara na kutii amri ya Mahakama, ya kuwataka wasitishe mgomo wao.

Pia limeonya kuwa ikiwa wataendelea kukaidi na kupuuza amri ya hiyo ya mahakama, linao wajibu wa kuwachukulia hatua kwa kuwafikisha mahakamani, ili wajibu mashtaka hayo.

Msimamo huo ulitolewa jana na Kamishna wa Oparesheni Maalumu, Kamishna wa Polisi (CP), Paul Chagonja wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari kwenye mkutano alioitisha kuzungumzia matokeo ya operesheni ya jeshi hilo ya majuma matatu katika kuzuia uhalifu nchini.

Alisema madai hayo ni uvumi ambao unalenga kulifanya jeshi hilo lisiaminike na kufifisha juhudi zake za kuwasaka waliohusika na unyama huo.

Daktari: Hali ya Ulimboka mbaya


Mgonjwa akiwa nje ya geti la Taasisi ya Mifupa MOI jijini Dar es Salaam jana akiwa ajui chakufanya baada kukuta geti hilo limefungwa kutokana na mgomo wa madaktari unaoendelea nchini.Picha na Venance Nestory
ASEMA FIGO ZAKE ZIMESHINDWA KAZI, ZATAKIWA DOLA 40,000 KUMPELEKA INDIA

AFYA ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Steven Ulimboka imebadilika na kuwa mbaya, baada ya figo zake kushindwa kufanya kazi ya kuchuja sumu ya mwili na kusababisha apatiwe huduma ya kusafisha damu yake.

Habari zilizopatikana jana na kuthibitishwa na kiongozi wa jopo la madaktari wanaoendelea kumtibu, Profesa Joseph Kahamba, zilieleza kuwa hali ya Dk Ulimboka ilibadilika na kuwa mbaya na hivyo kuwapo mikakati wa madaktari wenzake kukusanya fedha ili kumpeleka nje ya nchi.

Dk Ulimboka ambaye amelazwa katika Kitengo cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalumu (ICU) katika Taasisi ya Mifupa (MOI), alipatiwa huduma hiyo jana asubuhi kwa kutumia mashine maalumu, iliyoko katika Kitengo cha Watoto cha Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Daktari huyo ambaye alikuwa anaratibu mgomo wa madaktari unaoendelea nchi nzima kutokana na Serikali kushindwa kutimiza madai yao mbalimbali, amelazwa kutokana na majereha aliyoyapata katika sehemu mbalimbali za mwili, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana, kisha kupigwa, kung'olewa kucha, meno mawili na kutupwa katika Msitu wa Pande, usiku wa kuamkia Jumatano.

Tangu alazwe MOI baada ya kuokotwa na wasamalia wema, katika Msitu wa Pande uliopo nje kidogo ya Jiji la Dares Salaam, hali ya afya ya Dk Ulimboka imekuwa tete na jana ilizidi kuwa mbaya.

Kauli ya Dk Kahamba

Akizungumza na gazeti hili jana, Profesa Kahamba alisema kutokana na tatizo hilo, mgonjwa huyo jana alilazimika kusafishwa damu.

Alieleza hayo alipotakiwa kuthibitisha taarifa zilizolifikia gazeti hili kuwa afya ya Dk Ulimboka haikuwa nzuri na madaktari wanachangishana fedha kumpeleka kwenye matatibu ya kusafishwa damu katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam au nje ya nchi.

"Taarifa hizo zina ukweli, lakini siyo jambo rahisi kiasi hicho kwamba anatakiwa kusafishwa damu. Kama ni damu amesafishwa leo (jana) asubuhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili," alisema Profesa Kahamba na kuendelea:

"Suala lake ni complicated (tata) zaidi, lakini ili watu waelewe, siyo mbaya mkisema figo zimefeli(zimeshindwa kufanya kazi)."

Alipotakiwa kueleza sababu ya tatizo hilo, Profesa Kahamba alisema, "Siwezi kueleza kwa undani ila haya maumivu ya kupigwa na kuteswa yanachangia kwa kiasi kikubwa."

Alipotakiwa kueleza yeye anaonaje hali ya sasa ya Dk Ulimboka, Profesa Kahamba alisema: “Ni uongo tukisema anaendelea vizuri."

Aliendelea, "Unajua alipofikishwa hapa Muhimbili juzi (Jumatano) afya yake ilikuwa mbaya, na jana (Alhamisi) alionekana kuendelea vizuri, lakini jana hiyohiyo, hali yake ilianza kubadilika na vipimo vilionyesha kuwa ana complications (matatizo) za figo.

"Sasa figo ni kitu sensitive (muhimu) sana, anahitaji uangalizi wa karibu na kimsingi hatuwezi kusema kwamba anaendelea vizuri. Ni vyema tukisema tu afya yake ni mbaya," alieleza.

Taarifa za awali kutoka kwenye chanzo chetu hospitalini hapo, zilieleza kuwa Dk Ulimboka ambaye alipata tatizo linalojulikana kama “Acute renal failure”, alifanyiwa tiba inayojulikana kama Dialysis, ambayo ni kitendo kutumia mashine maalumu kufanya kazi ya kuchuja sumu ya mwili kwenda kwenye mkojo, baada ya figo ambazo hufanya kazi hiyo kushindwa.
Kwa mujibu wa chanzo hicho, Dialysis inaweza kumsadia mgonjwa ambaye figo zake zimeshindwa kufanya kazi, kuishi kama kawaida, lakini kwa Dk Ulimboka haikutoa matokeo mazuri.

Michango ya madaktari

Jana ulifanyika Mkutano wa Madaktari Bingwa wa MNH, Chuo Kikuu Sayansi ya Tiba Muhimbili (MUHAS) na Ocean Road (ORCI) na kuazimia kukusanya Dola za Marekani 40,000 (Sh64,000,000) ili Dk Ulimboka asafirishwe kwenda India kwa matibabu zaidi.

Taarifa za maazimio hayo zilitangazwa kwa waandishi wa habari na Katibu wa Jumuiya ya Madaktari, Dk Edwin Chitega, kuwa afya ya Dk Ulimboka haikuwa nzuri hivyo zikipatikana fedha hizo angepelekwa nje ya nchi.

Dk Chitega aliwataka wanataaluma hao na wananchi kwa ujumla kuchangia safari hiyo ili kuokoa maisha ya daktari huyo, huku akitaja namba za mawakala wa simu za Vodacom na Tigo, ambazo zitatumika kukusanya michango hiyo.

Habari zilizopatikana baadaye wakati tunakwenda mitamboni zilieleza kuwa, Dk Ulimboka alitarajiwa kusafirishwa kwenda Nairobi, Kenya kwa matibabu zaidi.


TANNA MOI watoa tamko
Katika hatua nyingine, Chama cha Wauguzi (Tanna), Tawi la MOI kilitoa tamko la kulaani kitendo cha kutekwa, kupigwa na kujeruhiwa kwa Dk Ulimboka na kutaka uchunguzi wa kina na haraka ufanyike ili kubaini watu waliohusika.

Mwenyekiti wa Tanna, Tawi la Moi, Prisca Tarimo alisema katika tamko hilo kuwa, kitendo alichofanyiwa Dk Ulimboka ni cha kinyama na kisicho cha kiutu.

Katika tamko hilo, Tanna imeomba Serikali kutafuta suluhu ya mgomo huo haraka kwa kuwa unaathiri maisha ya watu na kuwaongezea mzigo wa kiutendaji wauguzi.

Mgomo wa madakati unaingia siku ya saba leo, huku suluhu ya kuaminika ya kutatua tatizo hilo, ikiwa bado haijapatikana.

Polisi wakanusha
Katika hatua nyingine, James Magai anaripoti kuwa, Jeshi la Polisi limekanusha kumteka na kumjeruhi Dk Ulimboka, huku likipinga pia taarifa za daktari huyo kumtambua mmoja wa askari walio katika jopo la uchunguzi wa tukilo hilo alipokwenda kumtembelea hospitalini.

Pia jeshi hilo limetoa wito kwa madaktari hao walioko katika mgomo kuwa na busara na kutii amri ya Mahakama, ya kuwataka wasitishe mgomo wao.

Pia limeonya kuwa ikiwa wataendelea kukaidi na kupuuza amri ya hiyo ya mahakama, linao wajibu wa kuwachukulia hatua kwa kuwafikisha mahakamani, ili wajibu mashtaka hayo.

Msimamo huo ulitolewa jana na Kamishna wa Oparesheni Maalumu, Kamishna wa Polisi (CP), Paul Chagonja wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari kwenye mkutano alioitisha kuzungumzia matokeo ya operesheni ya jeshi hilo ya majuma matatu katika kuzuia uhalifu nchini.

Alisema madai hayo ni uvumi ambao unalenga kulifanya jeshi hilo lisiaminike na kufifisha juhudi zake za kuwasaka waliohusika na unyama huo.

Chadema, CUF waikataa Tume ya Kova



VYAMA vya siasa vya upinzani vya Chadema na CUF vimesema havina imani na tume iliyoundwa na Serikali kupitia Jeshi la Polisi kuchunguza tukio la kutekwa nyara na kujeruhiwa kwa Mwenyekiti wa  Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Steven Ulimboka.

Badala yake vimetaka iundwe tume huru itakayohusisha vyombo vya dola, madaktari na asasi zisizo za kiserikali.
Taarifa zilizotolewa kwa nyakati tofauti na vyama hivyo viwili, zilisema vyote vinaamini kuwa kwenye tukio hilo la kinyama lina mkono wa Serikali.
Sekretarieti ya Chadema ikiongozwa na Mkurugenzi wa Mafunzo na Oganaizesheni, Benson Kigaila, jana ilitishia  kuunganisha nguvu ya umma katika kuibana Serikali kama tume hiyo haitakuwa tayari kuunda tume huru.Akizungumza na waandishi wa habari, Kigaila waliilaumu Serikali kwa kitendo chake cha kushindwa kutekeleza madai ya madaktari,  wakati ikiruhusu fedha yingi kupotea kwa njia za uzembe na ufisadi.

Alisema historia inaonyesha kuwa matukio mengi yaliyochunguzwa na polisi, matokeo yake hayajawekwa hadharani.
Mkurugenzi huyo alisema matukio hayo ni mauaji ya watu wawili yaliyotokea katika chaguzi ndogo za Igunga na Arumeru mashariki.

Hali kadhalika, tukio la kumwagiwa tindikali kwa mwandishi wa habari Seid Kubenea.Taarifa ya Kaimu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Haki za Binadamuna wa CUF, Abdul Kambaya ilisema Serikali inapaswa kuchukua hatua za haraka kwa kuunda tume huru bila kuhusisha Jeshi la Polisi ili uchunguzi wa kina tukio hilo.

Chadema, CUF waikataa Tume ya Kova



VYAMA vya siasa vya upinzani vya Chadema na CUF vimesema havina imani na tume iliyoundwa na Serikali kupitia Jeshi la Polisi kuchunguza tukio la kutekwa nyara na kujeruhiwa kwa Mwenyekiti wa  Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Steven Ulimboka.

Badala yake vimetaka iundwe tume huru itakayohusisha vyombo vya dola, madaktari na asasi zisizo za kiserikali.
Taarifa zilizotolewa kwa nyakati tofauti na vyama hivyo viwili, zilisema vyote vinaamini kuwa kwenye tukio hilo la kinyama lina mkono wa Serikali.
Sekretarieti ya Chadema ikiongozwa na Mkurugenzi wa Mafunzo na Oganaizesheni, Benson Kigaila, jana ilitishia  kuunganisha nguvu ya umma katika kuibana Serikali kama tume hiyo haitakuwa tayari kuunda tume huru.Akizungumza na waandishi wa habari, Kigaila waliilaumu Serikali kwa kitendo chake cha kushindwa kutekeleza madai ya madaktari,  wakati ikiruhusu fedha yingi kupotea kwa njia za uzembe na ufisadi.

Alisema historia inaonyesha kuwa matukio mengi yaliyochunguzwa na polisi, matokeo yake hayajawekwa hadharani.
Mkurugenzi huyo alisema matukio hayo ni mauaji ya watu wawili yaliyotokea katika chaguzi ndogo za Igunga na Arumeru mashariki.

Hali kadhalika, tukio la kumwagiwa tindikali kwa mwandishi wa habari Seid Kubenea.Taarifa ya Kaimu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Haki za Binadamuna wa CUF, Abdul Kambaya ilisema Serikali inapaswa kuchukua hatua za haraka kwa kuunda tume huru bila kuhusisha Jeshi la Polisi ili uchunguzi wa kina tukio hilo.

Friday, June 29, 2012

Mbunge aangua kilio bungeni

MBUNGE wa Viti Maalum, Al-shaymaa Kweigyir (CCM), jana aliangua kilio bungeni kutokana na kukithiri vitendo vya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), huku akiitupia lawama Serikali kwa kushindwa kuchukua hatua kali dhidi ya watu wanaohusika na mauaji hayo.
Kweigyir aliangua kilio hicho, alipokuwa akichangia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, ya mwaka 2012/13, ambapo alisema Serikali imeshindwa kukabiliana na mauaji hayo.

“Inasikitisha jamani, Serikali imeshindwa kuchukua hatua dhidi ya watu ambao wanawaua albino bila hatia….wamekuwa wakiwaua albino wasiokuwa na hatia mpaka sasa idadi ya vifo imeongezeka na kufikia 80 nchini kote.

“Mheshimiwa Waziri Mkuu, wewe ndiyo mtu wa kutusaidia sisi walemavu wa ngozi, lakini umekaa kimya, hivi karibuni aliuawa faru ajulikanaye kwa jina la George na watu waliohusika na mauji hayo walikamatwa, kwa nini wauaji wa maalbino hawakamatwi.

“Hivi karibuni ameuawa albino huko wilayani Arumeru, hata alipogundulika kuwa ameuawa tayari alikutwa amekatwa viungo mbalimbali mwilini, ikiwemo sehemu za siri, kwa hali hii siungi mkono hotuba hii ya Waziri Mkuu, hadi nipate majibu,” alisema huku akihoji Mbunge huyo.

Mbunge huyo, ambaye pia ni mlemavu wa ngozi, alisema ni muhimu Serikali ikaweka alama maalum barabarani ambazo zitawaelekeza madereva kuweza kuwatambua watu wenye ulemavu wa viungo, wakiwemo wasiosikia na wa macho ili wavuke kwa urahisi.

Hata hivyo, mbunge huyo alishindwa kujizuia na kujikuta muda wote, akibubujikwa na machozi, hali iliyomfanya ashindwe kuendelea, huku Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima, akimbembeleza na kumtoa nje ya ukumbi wa Bunge.

Mbunge aangua kilio bungeni

MBUNGE wa Viti Maalum, Al-shaymaa Kweigyir (CCM), jana aliangua kilio bungeni kutokana na kukithiri vitendo vya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), huku akiitupia lawama Serikali kwa kushindwa kuchukua hatua kali dhidi ya watu wanaohusika na mauaji hayo.
Kweigyir aliangua kilio hicho, alipokuwa akichangia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, ya mwaka 2012/13, ambapo alisema Serikali imeshindwa kukabiliana na mauaji hayo.

“Inasikitisha jamani, Serikali imeshindwa kuchukua hatua dhidi ya watu ambao wanawaua albino bila hatia….wamekuwa wakiwaua albino wasiokuwa na hatia mpaka sasa idadi ya vifo imeongezeka na kufikia 80 nchini kote.

“Mheshimiwa Waziri Mkuu, wewe ndiyo mtu wa kutusaidia sisi walemavu wa ngozi, lakini umekaa kimya, hivi karibuni aliuawa faru ajulikanaye kwa jina la George na watu waliohusika na mauji hayo walikamatwa, kwa nini wauaji wa maalbino hawakamatwi.

“Hivi karibuni ameuawa albino huko wilayani Arumeru, hata alipogundulika kuwa ameuawa tayari alikutwa amekatwa viungo mbalimbali mwilini, ikiwemo sehemu za siri, kwa hali hii siungi mkono hotuba hii ya Waziri Mkuu, hadi nipate majibu,” alisema huku akihoji Mbunge huyo.

Mbunge huyo, ambaye pia ni mlemavu wa ngozi, alisema ni muhimu Serikali ikaweka alama maalum barabarani ambazo zitawaelekeza madereva kuweza kuwatambua watu wenye ulemavu wa viungo, wakiwemo wasiosikia na wa macho ili wavuke kwa urahisi.

Hata hivyo, mbunge huyo alishindwa kujizuia na kujikuta muda wote, akibubujikwa na machozi, hali iliyomfanya ashindwe kuendelea, huku Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima, akimbembeleza na kumtoa nje ya ukumbi wa Bunge.

Vigogo watano TRA wapandishwa kizimbani

WATUMISHI watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), katika wa kituo cha Holili, wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro, pamoja na wafanyabiashara wawili, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kilimanjaro, wakikabiliwa na mashitaka 26 ya kuisababishia mamlaka hiyo hasara ya Sh bilioni 1.5
Washtakiwa hao ni Ally Mgumia, Giliard Ngowi ambao ni wahasibu wasaidizi katika kituo hicho, Pelagi Silayo, Mhasibu Mkuu wa Kituo hicho, Hamisi Kiula na Shukuru Jongo.

Wengine waliofikishwa mahakamani ni pamoja na wafanyabiashara Hemedi Saidi na Domisian Rwezura.

Akisoma hati ya mashitaka mahakamani hapo, mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Saimoni Kobelo, Mwendesha Mashitaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani hapa, Magella Ndimbo, alidai washtakiwa wote wanadaiwa kutenda makosa ya kumdanganya mwajiri wao kwa kutumia nyaraka mbalimbali ili kujipatia fedha.

Alisema makosa hayo, yamegawanyika katika maeneo matatu, ambayo ni kula njama za kumdanganya mwajiri wao kwa manufaa yao binafsi, kughushi nyaraka na kuhujumu uchumi.

Alidai mtuhumiwa wa tatu katika shitaka hilo, anakabiliwa na mashitaka 13 ya matumizi ya nyaraka mbalimbali na kumdanganya mwajiri wake kwa kuidhinisha malipo ya ushuru wa bidhaa zilizosajiliwa, bila kufuata taratibu kinyume na sheria namba 22 kifungu 11 ya mwaka 2007 ya TAKUKURU.

Alisema mshitakiwa wa kwanza katika shitaka hilo, Ally Mgumia anakabiliwa na mashitaka matatu, likiwamo la kughushi hati za malipo na kumdanganya mwajiri wake kwa kuhalalisha malipo ya bidhaa mbalimbali zilizosajiliwa na kuisababishia Serikali hasara ya Sh milioni 32.

Alidai mshitakiwa wa pili, Gerald Ngowi, anakabiliwa na mashitaka matatu ya matumizi mabaya ya madaraka na kukiuka sheria halali kwa kumdanganya mwajiri wake, kwa kutumia mtandao ujulikanao kama SUDA na kuisababishia hasara mamlaka hiyo Sh milioni 13.

Alisema, watumishi wengine, Hamisi Kiula na Shukuru Jongo, wanakabiliwa na tuhuma za kuruhusu mizigo iliyokuwa imesajiliwa kutoka bila kufuata taratibu, jambo ambalo ni kinyume cha sheria ya Afrika Mashariki namba 1 ya mwaka 2005.

Alisema watumishi hao, walifanya makosa hayo kati ya Juni, 2007 na Septemba, 2009, wakiwa waajiriwa wa mamlaka hiyo.

Hata hivyo, washitakiwa wote walipelekwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ambapo kila mmoja alitakiwa kuweka benki Sh milioni 93 au mali isiyohamishika. Kesi hiyo itatajwa tena Julai 11, mwaka huu.

Vigogo watano TRA wapandishwa kizimbani

WATUMISHI watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), katika wa kituo cha Holili, wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro, pamoja na wafanyabiashara wawili, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kilimanjaro, wakikabiliwa na mashitaka 26 ya kuisababishia mamlaka hiyo hasara ya Sh bilioni 1.5
Washtakiwa hao ni Ally Mgumia, Giliard Ngowi ambao ni wahasibu wasaidizi katika kituo hicho, Pelagi Silayo, Mhasibu Mkuu wa Kituo hicho, Hamisi Kiula na Shukuru Jongo.

Wengine waliofikishwa mahakamani ni pamoja na wafanyabiashara Hemedi Saidi na Domisian Rwezura.

Akisoma hati ya mashitaka mahakamani hapo, mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Saimoni Kobelo, Mwendesha Mashitaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani hapa, Magella Ndimbo, alidai washtakiwa wote wanadaiwa kutenda makosa ya kumdanganya mwajiri wao kwa kutumia nyaraka mbalimbali ili kujipatia fedha.

Alisema makosa hayo, yamegawanyika katika maeneo matatu, ambayo ni kula njama za kumdanganya mwajiri wao kwa manufaa yao binafsi, kughushi nyaraka na kuhujumu uchumi.

Alidai mtuhumiwa wa tatu katika shitaka hilo, anakabiliwa na mashitaka 13 ya matumizi ya nyaraka mbalimbali na kumdanganya mwajiri wake kwa kuidhinisha malipo ya ushuru wa bidhaa zilizosajiliwa, bila kufuata taratibu kinyume na sheria namba 22 kifungu 11 ya mwaka 2007 ya TAKUKURU.

Alisema mshitakiwa wa kwanza katika shitaka hilo, Ally Mgumia anakabiliwa na mashitaka matatu, likiwamo la kughushi hati za malipo na kumdanganya mwajiri wake kwa kuhalalisha malipo ya bidhaa mbalimbali zilizosajiliwa na kuisababishia Serikali hasara ya Sh milioni 32.

Alidai mshitakiwa wa pili, Gerald Ngowi, anakabiliwa na mashitaka matatu ya matumizi mabaya ya madaraka na kukiuka sheria halali kwa kumdanganya mwajiri wake, kwa kutumia mtandao ujulikanao kama SUDA na kuisababishia hasara mamlaka hiyo Sh milioni 13.

Alisema, watumishi wengine, Hamisi Kiula na Shukuru Jongo, wanakabiliwa na tuhuma za kuruhusu mizigo iliyokuwa imesajiliwa kutoka bila kufuata taratibu, jambo ambalo ni kinyume cha sheria ya Afrika Mashariki namba 1 ya mwaka 2005.

Alisema watumishi hao, walifanya makosa hayo kati ya Juni, 2007 na Septemba, 2009, wakiwa waajiriwa wa mamlaka hiyo.

Hata hivyo, washitakiwa wote walipelekwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ambapo kila mmoja alitakiwa kuweka benki Sh milioni 93 au mali isiyohamishika. Kesi hiyo itatajwa tena Julai 11, mwaka huu.

Wamlaumu Kikwete kwa mgomo wa madaktari


Dk. Hellen Kijo-Bisimba
WAKATI mgomo wa madaktari ukiendelea nchini, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi yake aliyoitoa mwishoni mwa Februari mwaka huu kwamba mgomo wa madaktari hautatokea tena nchini.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotiwa saini na Mkurugenzi Mtendaji wake, Dk. Hellen Kijo-Bisimba, kituo hicho kimeilaumu Serikali kwa ujumla kwa kutokuwa makini katika kushughulikia masuala ya madaktari walioko kwenye mgomo.  
Kimesema kwamba Serikali imeshindwa kutoa taarifa kwa  umma kuhusu tume iliyoundwa kati ya madaktari na Serikali kuhusu utatuzi wa mgogoro huo.
Kimetaka Serikali ihakikishe kwamba vifaa vya tiba na madawa muhimu katika vituo vyote vya afya vinapatikana ili wananchi wote waweze kupata huduma bora za afya.
“Serikali inatakiwa kuhakikisha kuwa inatekeleza kwa dhati Makubaliano ya Abuja kwa kuhakikisha kweli inatenga asilimia 15 ya bajeti yake katika kuboresha huduma za afya.  Hiyo itasaidia katika kuondoa matatizo  yanayoikabili sekta hiyo hivi sasa,” kimesema.
Kimeongeza:  “Serikali imekuwa ikiendelea kuongelea kuboresha maslahi ya madaktari bila kuzungumzia suala la uboreshaji wa huduma za afya na upatikanaji wa vifaa vya tiba.”
Kituo hicho kimeitaka Serikali ichukue hatua za dhati katika kuzuia mgomo mwingine wa madaktari kwa kuwa wanaoathirika ni wanachi wasio na kipato, wasiowweza kutibiwa kwenye hospitali binafsi  na wasioweza kutibiwa nje ya nchi.
“Mamlaka zote za nchini zitambue, ziheshimu na kuwajibika kwa wananchi walioziweka madarakani kwa mujibu wa ibara ya 8 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,” kituo hicho kimesema.
Kimetaka umma wa Watanzania kuamka kudai na kuikumbusha Serikali kuwa inawajibika kwa watanzania na si kwa kikundi kidogo  cha watu wanaolinda maslahi yao.

Wamlaumu Kikwete kwa mgomo wa madaktari


Dk. Hellen Kijo-Bisimba
WAKATI mgomo wa madaktari ukiendelea nchini, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi yake aliyoitoa mwishoni mwa Februari mwaka huu kwamba mgomo wa madaktari hautatokea tena nchini.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotiwa saini na Mkurugenzi Mtendaji wake, Dk. Hellen Kijo-Bisimba, kituo hicho kimeilaumu Serikali kwa ujumla kwa kutokuwa makini katika kushughulikia masuala ya madaktari walioko kwenye mgomo.  
Kimesema kwamba Serikali imeshindwa kutoa taarifa kwa  umma kuhusu tume iliyoundwa kati ya madaktari na Serikali kuhusu utatuzi wa mgogoro huo.
Kimetaka Serikali ihakikishe kwamba vifaa vya tiba na madawa muhimu katika vituo vyote vya afya vinapatikana ili wananchi wote waweze kupata huduma bora za afya.
“Serikali inatakiwa kuhakikisha kuwa inatekeleza kwa dhati Makubaliano ya Abuja kwa kuhakikisha kweli inatenga asilimia 15 ya bajeti yake katika kuboresha huduma za afya.  Hiyo itasaidia katika kuondoa matatizo  yanayoikabili sekta hiyo hivi sasa,” kimesema.
Kimeongeza:  “Serikali imekuwa ikiendelea kuongelea kuboresha maslahi ya madaktari bila kuzungumzia suala la uboreshaji wa huduma za afya na upatikanaji wa vifaa vya tiba.”
Kituo hicho kimeitaka Serikali ichukue hatua za dhati katika kuzuia mgomo mwingine wa madaktari kwa kuwa wanaoathirika ni wanachi wasio na kipato, wasiowweza kutibiwa kwenye hospitali binafsi  na wasioweza kutibiwa nje ya nchi.
“Mamlaka zote za nchini zitambue, ziheshimu na kuwajibika kwa wananchi walioziweka madarakani kwa mujibu wa ibara ya 8 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,” kituo hicho kimesema.
Kimetaka umma wa Watanzania kuamka kudai na kuikumbusha Serikali kuwa inawajibika kwa watanzania na si kwa kikundi kidogo  cha watu wanaolinda maslahi yao.

Madaktari 83 wafukuzwa kazi


JUMLA ya madaktari 83 wamefukuzwa kazi katika Hospitali ya Rufaa Mbeya na ile ya mkoa wa Dodoma kwa madai ya kukaidi agizo la Mahakamu Kuu lililowataka wasitishe mgomo wao.
Mkoani Mbeya, Kaimu Mkuu wa Mkoa huo Nomani Sigala alitangaza kufukuzwa kwa madaktari 72, ambao wamekuwa katika mgomo huo licha ya agizo la serikali na amri ya mahakama ya kusitisha mgomo huo hadi kesi ya msingi itakaposikilizwa na kutolewa maamuzi.
Katika tamko lake kwa waandishi wa habari jana, Sigala alisema bodi ya wakurugenzi wa hospitali hiyo, imeamua kuchukua uamuzi huo kutokana na kukaidi kwa madaktari hao.
Kati ya madaktari waliofukuzwa, 18 ni wa ajira ya kudumu, huku 54 wakiwa ni walioko katika mafunzo.
Sigala alisema kuwa Juni 23 mwaka huu madaktari 15 tu walikuwa zamu na Juni 24 wafanyakazi 19 kati yao 15 wa mafunzo na wanne wa ajira hawakufika hospitalini na hapo ukawa mwanzo wa mgomo.
Alidai kuwa madaktari hao walikataa kukutana hata na mwenyekiti wa bodi kwa ajili ya majadiliano.
Alisema kuwa baada ya kuona madaktari hao wamekataa kuitikia wito wa kukaa na kusitisha mgomo kutokana na amri ya mahakama, bodi imeamua kuwarudisha madaktari wote 54 wa vitendo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ili kuchukua hatua zaidi na usitishaji huo ulianza jana.
Kwa madaktari 18 walioajiriwa, Kaimu Mkuu huyo wa mkoa alisema wameshawaandikia barua za kusimamishwa kazi kwao katika hospitali ya Rufaa Mbeya na kurudishwa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa hatua zaidi za kinidhamu.
Kuthibitisha Tanzania Daima ilifika katika hospitali na kukuta madaktari wa mafunzo wakifungasha mizigo yao tayari kwa kuondoka katika hosteli za hospitali huku askari kanzu wakiwasimamia.
Mkoani Dodoma serikali imewasimamisha madaktari 11 wa mafunzo na vitendo kutokana na kuendelea na mgomo.
Mwenyekiti wa Kamati Jumuiya ya Madaktari Mkoa humo Dk. Cassian Mkuwa alithibitishia Tanzania Daima kufukuzwa kwa madaktari hao, na kwamba tukio hilo lilitokea jana asubuhi wakati wakiwa hospitalini hapo wakiendelea na mgomo wao.
Alisema Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo Dk. Ezeliel Mpuya aliwaita madaktari wote walio katika mafunzo kwa nia ya kuzungumza nao, lakini walipofika alitoa barua kwa madaktari 11 na kudai kuwa wamesimamishwa kazi kuanzia jana kutokana na mgomo.
Hata hivyo madaktari hao waliosimamishwa kazi walikataa kupokea barua hizo licha ya kutakiwa kuondoka katika eneo la hospitali.
Dk. Mkuwa akiwa mmoja kati ya waliofukuzwa alisema anashindwa kuelewa ni vigezo gani vilitumika kuwapata madaktari hao 11 na kuwasimamisha kazi kwani waliogoma ni zaidi ya madaktari 20.
“Mimi nashangaa yeye alitumia vigezo gani kutufukuza na kwanza sisi hatukuingia mkataba na yeye sasa anatufukuza kama nani?’’ aliuliza.
Aidha Dk. Mkuwa alisema tayari wameshatuma taarifa kwa Kamati Kuu ya Jumuiya hiyo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya hatua zaidi.
Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo Dk. Ezekiel Mpuya alisema kama madaktari wamegoma, hawana sababu ya kuwepo katika eneo hilo.
Hata hivyo, Dk Mpuya hakutaka kuzungumza zaidi kuhusiana na sakata hilo, badala yake alisema kama madaktari wenyewe wamezungumza hakuna haja ya yeye kuongeza kitu.

Madaktari 83 wafukuzwa kazi


JUMLA ya madaktari 83 wamefukuzwa kazi katika Hospitali ya Rufaa Mbeya na ile ya mkoa wa Dodoma kwa madai ya kukaidi agizo la Mahakamu Kuu lililowataka wasitishe mgomo wao.
Mkoani Mbeya, Kaimu Mkuu wa Mkoa huo Nomani Sigala alitangaza kufukuzwa kwa madaktari 72, ambao wamekuwa katika mgomo huo licha ya agizo la serikali na amri ya mahakama ya kusitisha mgomo huo hadi kesi ya msingi itakaposikilizwa na kutolewa maamuzi.
Katika tamko lake kwa waandishi wa habari jana, Sigala alisema bodi ya wakurugenzi wa hospitali hiyo, imeamua kuchukua uamuzi huo kutokana na kukaidi kwa madaktari hao.
Kati ya madaktari waliofukuzwa, 18 ni wa ajira ya kudumu, huku 54 wakiwa ni walioko katika mafunzo.
Sigala alisema kuwa Juni 23 mwaka huu madaktari 15 tu walikuwa zamu na Juni 24 wafanyakazi 19 kati yao 15 wa mafunzo na wanne wa ajira hawakufika hospitalini na hapo ukawa mwanzo wa mgomo.
Alidai kuwa madaktari hao walikataa kukutana hata na mwenyekiti wa bodi kwa ajili ya majadiliano.
Alisema kuwa baada ya kuona madaktari hao wamekataa kuitikia wito wa kukaa na kusitisha mgomo kutokana na amri ya mahakama, bodi imeamua kuwarudisha madaktari wote 54 wa vitendo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ili kuchukua hatua zaidi na usitishaji huo ulianza jana.
Kwa madaktari 18 walioajiriwa, Kaimu Mkuu huyo wa mkoa alisema wameshawaandikia barua za kusimamishwa kazi kwao katika hospitali ya Rufaa Mbeya na kurudishwa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa hatua zaidi za kinidhamu.
Kuthibitisha Tanzania Daima ilifika katika hospitali na kukuta madaktari wa mafunzo wakifungasha mizigo yao tayari kwa kuondoka katika hosteli za hospitali huku askari kanzu wakiwasimamia.
Mkoani Dodoma serikali imewasimamisha madaktari 11 wa mafunzo na vitendo kutokana na kuendelea na mgomo.
Mwenyekiti wa Kamati Jumuiya ya Madaktari Mkoa humo Dk. Cassian Mkuwa alithibitishia Tanzania Daima kufukuzwa kwa madaktari hao, na kwamba tukio hilo lilitokea jana asubuhi wakati wakiwa hospitalini hapo wakiendelea na mgomo wao.
Alisema Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo Dk. Ezeliel Mpuya aliwaita madaktari wote walio katika mafunzo kwa nia ya kuzungumza nao, lakini walipofika alitoa barua kwa madaktari 11 na kudai kuwa wamesimamishwa kazi kuanzia jana kutokana na mgomo.
Hata hivyo madaktari hao waliosimamishwa kazi walikataa kupokea barua hizo licha ya kutakiwa kuondoka katika eneo la hospitali.
Dk. Mkuwa akiwa mmoja kati ya waliofukuzwa alisema anashindwa kuelewa ni vigezo gani vilitumika kuwapata madaktari hao 11 na kuwasimamisha kazi kwani waliogoma ni zaidi ya madaktari 20.
“Mimi nashangaa yeye alitumia vigezo gani kutufukuza na kwanza sisi hatukuingia mkataba na yeye sasa anatufukuza kama nani?’’ aliuliza.
Aidha Dk. Mkuwa alisema tayari wameshatuma taarifa kwa Kamati Kuu ya Jumuiya hiyo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya hatua zaidi.
Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo Dk. Ezekiel Mpuya alisema kama madaktari wamegoma, hawana sababu ya kuwepo katika eneo hilo.
Hata hivyo, Dk Mpuya hakutaka kuzungumza zaidi kuhusiana na sakata hilo, badala yake alisema kama madaktari wenyewe wamezungumza hakuna haja ya yeye kuongeza kitu.

Ulimboka ana siri nzito


 

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Dk Steven Ulimboka, akiwa amelazwa katika Chumba maalum cha wagonjwa mahututi (ICU)akiendelea na matibabu katika Taasisi ya mifupa (MOI)jijini Dar es Salaam jana.
ASEMA ATAANIKA KILA KITU BAADAYE, ASEMA ACHWE APUMZIKE, MKUU WA JOPO LA MADAKTARI WANAOMTIBU ASEMA ALING'OLEWA KUCHA, MENO MAWILI NA KUPATA MTIKISIKO WA UBONGO

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Madaktari aliyetekwa nyara na kuumizwa vibaya  usiku wa kumkia juzi, kisha kutupwa  Msitu wa Pande, Dk Steven Ulimboka amesema atazungumza kwa kina yote yaliyomsibu baadaye na kuomba sasa aachwe auguze maumivu makali yanayomkabili.

Dk Ulimboka aliokotwa na wasamaria wema juzi asubuhi katika Msitu wa Pande nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam, baada ya kutekwa nyara na watu waliokuwa na silaha akiwa katika Viwanja vya Klabu ya Leaders, Kinondoni.

Jana, Dk Ulimboka ambaye amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili huku hali yake ikiwa haijatengemaa vyema, alitoa kauli akisema ingawa ana maumivu makali anaendelea vizuri ikilinganishwa na siku ya kwanza.

Dk Ulimboka alitoa kauli hiyo baada ya kutakiwa aeleze mkasa huo uliomfika wa kukamatwa, kuteswa na kutupwa msituni.



Hata hivyo, hadi sasa wingu zito la nani alimteka na watekaji walitaka kujua nini kutoka kwa kiongozi huyo wa madaktari, bado limetanda.

Siri nzito
Akisimulia mkasa huo kupitia Kituo cha Redio cha Clouds FM, Dk Ulimboka alisema, akiwa katika klabu hiyo ya Leaders alipigiwa simu na rafiki yake ambaye alikuwa atokee Tandika na baada ya kumsubiri ndipo alipofika kwenye klabu hiyo, lakini, alianza kujisikia vibaya tofauti na siku nyingine na kuongeza;  "Yaani  sikuwa na amani."

Alisema, "Mara, katikati ya maongezi tukaona mtu anaongea na simu. Ghafla tukiwa tunasema tuagane, wakaja watu kama watano hivi na bunduki, wakasema wewe na yule bwana mko free (huru), tunakuchukua wewe (Dk Ulimboka)," alieleza na kuongeza:

"Sijakaa sawa, nikaona nimeshaburutwa nikaanguka kwenye lami, wakaniinua na kuniingiza kwenye gari nyeusi, lakini halikuwa na namba."

Hata hivyo, jana Dk Ulimboka hakuonana na mwandishi wa habari hii, badala yake alirekodiwa, na Mwananchi kupata sauti yake  akijibu swali kuhusu hali yake na tukio hilo,  baada ya uongozi wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (Moi) kuzuia watu kumwona.

Daktari huyo wa magonjwa ya binadamu, amelazwa katika chumba cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalumu (ICU).

"Kidogo najisikia nafuu ikilinganishwa na nilivyokuja ingawaje, bado nina maumivu makali. Kwa hivyo, ingependeza niendelee na mapumziko na mtu yeyote anayetaka kuniona pengine hilo jambo lisifanyike sasa. Hivi sasa ni vizuri nipumzike," ilisikika sauti hiyo ya Dk Ulimboka.

Lakini, uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa wodini alikolazwa Dk Ulimboka, kuna ulinzi mkali wa madaktari na hairuhusiwi watu kumwona kiholela siyo tu kwa sababu za kutaka aachwe apumzike, bali pia kutowaamini watu ovyo.

Madaktari wanaolinda eneo hilo walisikika jana wakisema, “Huyu tunamlinda wenyewe na haiwezekani mtu asiyefahamika kuingia humu ndani, na hilo tutahakikisha sisi wenyewe,”alisikika akisema mmoja wa madaktari hao.

Kiongozi jopo la madaktari

Katika hatua nyingine, kiongozi wa jopo la madaktari wanaomuhudumia Dk Ulimboka, Profesa Joseph Kahamba aliwaambia waandishi wa habari kuwa Dk Ulimboka ana majeraha mwili mzima.

“Ingawa kwa sasa anaendelea vizuri, Dk Ulimboka  ameumia sana, kwani mwili wake mzima una majeraha kutokana na kupigwa na watekaji hao,”alisema Profesa Kahamba na kuongeza:

“Aliumia mbavuni,kifuani, miguuni, mikononi ambako aling’olewa baadhi ya kucha za vidole na kichwani  na kinywani, ambako aling’olewa meno mawili,”alisema.

Alifafanua kwamba, kutokana na maumivu hayo ya kichwa, Dk Ulimboka alipata tatizo la mtikisiko wa ubongo, lakini akasisitiza kuwa madaktari bingwa wanaendelea na harakati za kuokoa maisha yake.

Uongozi wa Moi watoa neno

Uongozi wa Taasisi ya Mifupa (Moi) umeeleza kuwa hali yake inaendelea vizuri ingawa bado amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi cha taasisi hiyo.

Msemaji wa Moi, Almas Jumaa aliwaambia waandishi wa habari kuwa licha ya hali yake kuendelea vizuri, lakini  haingewezekana kwa waandishi wa habari kuingia ndani ya chumba alikolazwa na kumwona Dk Ulimboka.

“Mgonjwa anaendelea vizuri ukilinganisha na jana (juzi), anaongea, anawatambua watu wanaokwenda kumwona, lakini utaratibu wa kwenda kumwona kwa ninyi imeshindikana kwa sababu yupo (ICU) ni chumba chenye utaratibu wake,”alisema Jumaa.

Jumaa aliongeza kwamba ili mtu aweze kuingia wodini   analazimika kuvaa vazi maalumu na mavazi yaliyopo, yasingetosha, lakini pia wapo watu wanaoendelea kumpatia huduma ya matibabu.

Tamko la Jumuiya ya Madaktari

Wakati hali ya Dk Ulimboka ikiwa hivyo, madaktari wameipinga tume ya uchunguzi iliyoundwa na Jeshi la Polisi kuchunguza suala hilo, wakidai mazingira ya tukio hayaliondoi jeshi hilo kuhusika.

Katibu wa Jumuiya hiyo, Dk Edwin Chitage aliwaambia waandishi wa habari kuwa wangependa kuundwa kwa tume huru itakayofanya kazi ya kuchunguza tukio hilo na kutoa taarifa kwa umma.

“Madaktari kwa ujumla wetu tunalaani tukio la kutekwa nyara,kupigwa na kutupwa katika Msitu wa Pande, lakini pia hatuna imani na tume iliyoundwa na Jeshi la Polisi kwa sababu mazingira ya tukio hayaondoi kuhusika ama kutohusika kwa jeshi hilo,”alisema Dk Chitage.

Chitage alitoa msimamo wa madaktari kuwa ni kuendelea na mgomo, huku akionya Serikali kuacha vitendo vya kuwatisha, kwa madai kuwa vitendo hivyo haviwezi kuwa suluhu ya mgogoro kati ya pande hizo mbili.

“Kumekuwa na vitisho kwa madaktari katika maeneo mbalimbali nchini, hususan Dodoma, Mbeya, Arusha na Mwanza. Tunaionya Serikali kuacha mara moja na itambue kuwa mgogoro huo hauwezi kumalizwa kwa namna nyingine yoyote bali ni kwa Serikali kutekeleza madai ya madaktari,”alisema Chitega na kuongeza:

“Sisi madaktari kwa umoja wetu, tumechoka kushuhudia Watanzania wakipoteza maisha kwa magonjwa tunayoweza kuyatibu, kufanya kazi katika mazingira magumu huku kukiwa hakuna mipango ya kuboresha mazingira ya kazi, kukosekana kwa dawa na vifaa tiba.”

Mgomo huo wa madaktari leo unaingia siku ya saba tangu ulipotangazwa na mwenyekiti huyo kuwa, ungeanza rasmi Jumamosi iliyopita.