Tuesday, September 17, 2013

Mh. Pinda aiomba mahakama kuu kufuta kesi dhidi yake

EA DRIVE (10:00 Alasiri)  Waziri Mkuu Bw.Mizengo Pinda na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) wameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam , itupilie mbali kesi iliyofunguliwa dhidi yao na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kuwa kituo hicho hakina haki kuwafungulia kesi hiyo. Mh. Pinda amefunguliwa kesi hiyo kwa kauli yake ya kuruhusu polisi kuwapiga raia wakaidi.

Nini maoni yako? 
Waziri Mkuu Bw.Mizengo Pinda na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) wameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam , itupilie mbali kesi iliyofunguliwa dhidi yao na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kuwa kituo hicho hakina haki kuwafungulia kesi hiyo. Mh. Pinda amefunguliwa kesi hiyo kwa kauli yake ya kuruhusu polisi kuwapiga raia wakaidi.

Nini maoni yako?