Tuesday, August 27, 2013

Mwanamke wa kitanzania akamatwa na madawa ya kulevya Dubai

Mwanamke wa kitanzania amekamatwa na madawa ya kulevya Uarabuni akitokea huko Brazil, amedai kuwa mume wake ndio amemponza kwa kumfanya punda (mbebaji) bila ya ridhaa yake, madawa hayo yalikamatwa kwenye begi lake uwanja wa ndege wa Dubai huko uarabuni
kwa maelezo zaidi soma hii habari hapa chini, inayopatikana katika mtandao wa Yahoo.com


Photo of a woman caught with Dhs3 million of drugs.Photo: Yahoo! News
--
A cross-post from Yahoo! News — A woman caught with Dhs3 million of drugs in her suitcase claims she was unwittingly being used as a mule by her husband, Dubai Police said.

The Tanzanian woman was arrested at Dubai International Airport in transit to her home country from Brzail. She claims her husband arranged for her to go on a three-month trip to Brazil so that she could unwind.

However, she told officers that while on holiday, a friend of her husband asked her to take some bags back to Tanzania. She was arrested in Dubai after officers at the airport became suspicious of her behavior. They found 3kg of cocaine in her luggage, worth Dhs3 million.

“She claimed that her husband got her in trouble as he offered her a relaxing trip to Brazil and she went for three months. Her husband’s friend asked her to deliver the bags to her husband in Tanzania,”an official in anti-narcotics said. The suspect has been referred to public prosecution.