Thursday, August 29, 2013

Majambazi yavamia bank jijini dar, wamevaa sare za polisi

 
 Majambazi baadhi yao wakiwa wamevalia sare za jeshi la polisi, wamevamia Benki ya Habib African iliyopo Mtaa wa Livingstone Kariakoo, Jijini Dar es Salaam na kupora kiasi kikubwa cha fedha.

Source: EATV