Pages
Home
Music Stories
Jifunze Kinyiramba
Afya na Mahusiano
Michezo/Sports-
Jifunze Kinyisanzu
Jokes Corner
Friday, June 21, 2013
Mbunge Moses Machali ajeruhiwa
Mbunge wa jimbo la Kasulu Mjini kupitia chama cha NCCR-Mageuzi Moses Machali amelazwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana jana usiku, nyumbani kwake eneo la Area D.
#Source: eatv
Newer Post
Older Post
Home